Msaada wenu wapendwa mwanangu ana miezi 5 amekuwa akisumbuliwa na homa yaan anakuwa na joto kalii kichwani mikononi na tumbo ila kila nikienda hospital mtoto hana malaria. Japo mwanzo nilimkuta damu kimepungua sana akapewa dawa kwa sasa damu ni 12.3 na hana
Tatizo jingine je shida yaweza kuwa nini?
Tatizo jingine je shida yaweza kuwa nini?