Mtoto amuumbua baba yake mbele za watu

Uncle Rukus

JF-Expert Member
Jun 16, 2010
2,415
398
Ni juzi jumapili natoka kanisani, nikiambatana na waumini wenzangu tuna toka eneo la kanisa, mbele yangu kuna kijana ambaye nahisi anaweza kuwa na umri kati ya 35/40 ameongozana na watoto wawili mmoja ni mchanga hivi anaweza kuwa na miezi kama 6 hivi amembeba na mwingine wa kiume ambaye anaweza kuwa na umri wa 1/2 amemshika mkononi. mazungumzo yao yalikuwa hivi

Baba: msubirie mama yako uongozane nae

Mtoto:Sitaki

Baba:kwa nini utaki kuongozana na mama yako?

Mtoto: Simpendi mama kwa sababu uwa anafanya mchezo mbaya usiku na wewe.


Watu tulio kuwa nyuma yao tulibaki na mshangao mkubwa hasa kutokana na maneno ya huyo mtoto mdogo ambaye hakuna aliyedhania yule mtoto angeweza kuongea maneno kama yale, na hii inaonekana huyu jamaa analala chumba kimoja na huyu dogo na usiku wanakula lile tunda wakidhani dogo amelala kumbe anawacheki...

Swali; je ni kwa nini mtoto amchukie mama yeke na siyo baba yake?
je huyu mtoto amejua je kuwa hule ni mchezo mbaya ?
 
Mmh! Mkuu hii ni noma, huyu mtoto mbona umri wake ni mdogo sana kulitambua hilo!!!anyway ni somo kuwa tusipende kulala chumba kimoja na hawa malaika. tunawaharibu kwa matendo yetu bila kujua na hiyo picha kamwe haitofutika kichwani mwake!
 
Mmh! Mkuu hii ni noma, huyu mtoto mbona umri wake ni mdogo sana kulitambua hilo!!!anyway ni somo kuwa tusipende kulala chumba kimoja na hawa malaika. tunawaharibu kwa matendo yetu bila kujua na hiyo picha kamwe haitofutika kichwani mwake!
Nadhani hawa watoto wasiku hizi wanakuwa na uelewa wa mamba haraka sana tofauti na sisi wengine tulikuwa tunalala na wazee tukiwa na umri wa 5 bila kujua lolote.
 
Inaonyesha mama ndo ana power wakati wanandoa wakifaidi tunda .......mpaka mtoto kaona mama ndo humuumiza baba! :D
 
guess baba cries/moans alot so mtoto anafikiria mama ndio anamwumiza babake....by the way, kuna ubaya mtoto kujua kuwa wazazi wanakula matunda, si lazima lionekane jambo baya as long as linafanywa na wanapendano; tuwafundishe tu vizuri
 
Mmh! Mkuu hii ni noma, huyu mtoto mbona umri wake ni mdogo sana kulitambua hilo!!!anyway ni somo kuwa tusipende kulala chumba kimoja na hawa malaika. tunawaharibu kwa matendo yetu bila kujua na hiyo picha kamwe haitofutika kichwani mwake!


Mkuu inategemea unaishi maeneo gani na mwanao anakutana na makundi gani! Usipinge.........hebu tafuta ROSS Kemp series on Kenya conflict kuna part inaonyesha todlers na hapa ni 9 months old wakikamata glue mbele ya mama zao!
 
guess baba cries/moans alot so mtoto anafikiria mama ndio anamwumiza babake....by the way, kuna ubaya mtoto kujua kuwa wazazi wanakula matunda, si lazima lionekane jambo baya as long as linafanywa na wanapendano; tuwafundishe tu vizuri

Seniorita, umenipa mwaga kidogo hapa.
 
Huyo mtoto aliyekuwa anaongea ni yule wa 1/2?? Ni umri gani huu? nusu au mwaka ni miezi miwili? Nahisi kama hukukadiria umri wake vizuri. Labda ni mkubwa kuliko ulivyo muona.
 
Siku moja nimekwenda kwa demu wangu, tukaingia chumbani ,kuanza kubambana tukarukia kitandani huku tukadhani mlango tumefunga, kidogo mlango ukafunguliwa mtoto akaingia alikua na miaka 3 , aliniona nime mlalia mama yake, na siwezi sahau jinsi mtoto alivyo niangalia ,alioneysha kama kuona aibu halafu kuinamaa chini , hapo hapo tukaachana na kusimama na kuvaa nguo , ingawa hatuku vua zote, nikajiuliza huyu mtoto kajua tulikua tunaafanya nini na kama kajua mbona mdogo sana kuelewa? Kesho yake aka muadithia bibi yake kua nilikua napigana na mama yake ndio nikajua kumbe yeye alijua nimekasirika na nampiga mama yake!.
 
Back
Top Bottom