Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,725
- 21,804
Poleni Sana.
Inaonekana sheria zinatofautiana, maana kama nchi nyingine wanaweka maslahi ya mzazi/mama mbele zaidi.
Nikuvumilia tu, ila anahitaji uangalifu wa karibu kutoka kwa mume na ndugu....
Asije kukutana na wasiojua wakamuuliza....eehh naona tumbo linazidi kukua, hongera lini unatuletea mtoto?
Hii kauli inaumiza na anaweza kukosa jibu lakumpa mtu inategemea mko na ukaribu upi.
Mungu amtangulie amalize hiyo safari salama na ampe nguvu na afya ya kujaribu tena kubeba ujauzito.
Inaonekana sheria zinatofautiana, maana kama nchi nyingine wanaweka maslahi ya mzazi/mama mbele zaidi.
Nikuvumilia tu, ila anahitaji uangalifu wa karibu kutoka kwa mume na ndugu....
Asije kukutana na wasiojua wakamuuliza....eehh naona tumbo linazidi kukua, hongera lini unatuletea mtoto?
Hii kauli inaumiza na anaweza kukosa jibu lakumpa mtu inategemea mko na ukaribu upi.
Mungu amtangulie amalize hiyo safari salama na ampe nguvu na afya ya kujaribu tena kubeba ujauzito.