Jemedal_bin_chichi
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 539
- 574
Habari za Mda huu wakuu wote humu ndani,
Ni matarajio yangu weekend inaenda swadacta na mapumziko yapo sawa sawia
Naomba msaada juu ya swala lililo mtokea Shemeji yangu (Mke wa kaka yangu),
Shemeji yangu huyu yeye ni mjamzito na ujauzito wake ulifikia miezi saba,alihisi mtoto apigi tena tumboni na akawa anahisi maumivu ya kichomi tumboni na hata akifanya shughuli za kuinama ( kama kufagia,kuosha vyombo n.k) alikua anahisi maumivu makali sana, Hivyo akapata wasiwas na kuamua kwenda hospitali kwa ajiri ya kufanya Ultra sound,
Bahati baya zaidi majibu yakatoka kuwa mtoto amefariki, kwasababu alienda ktk zahanati tuu, akashauriwa aende cliniki aliyokuwa ameanza kwenda ili akapewe rufaa ya kwenda hospital kubwa kwaajiri ya kwenda kuzalishwa na mambo kama hayo,
Kweli alipewa rufaa na kwenda huko hospital kubwa, baada ya kufika huko waliziona zile documents zote na kuthibitisha hilo, lakini sasa waka mwambia, madhari mtoto amefariki tumboni, hivyo uchungu huwa unakuja wenyewe automatic,
Hivyo wamempa siku 14 na kumwambia endapo zikamaliza hizo siku kumi na nne kama hajapata uchungu aende wakamzalishe, leo ni siku ya tano hana dalili zozote za uchungu, sasa nilikuwa naomba msaada kwa nyinyi wataalamu,
Je hii ya Mama mjamzito kukaa na kiumbe kilichokufa tumboni zaidi ya wiki sasa haitaleta madhara ya kiafya kwake baadae!? kama vile kuoza kwa mtoto na baadae kuoza kwa kizazi n.k
Lkn pia Je ni kweli lazima apewe hizi siku kumi na nne kwanza? ili apate uchungu mwenyewe!?
Mwisho kabisa Je kunauwezekano wa njia nyingine kutumia zaidi ya kusubiri hizi siku 14!?
Natanguliza shukrani za dhati.
Ahsante.
YALIYOJIRI HOSPITALI (UPDATES)
Kwanza awali ya yote nitoe shukrani na dhati kabisa kwa wote mliokuwa mmechangia ktk uzi huu, ushauri wenu niliupokea kwa mikono miwili, mlitoa ushauri nikaupokea kisha nikajiridhisha ni nini cha kufanya kulingana na ushauri husika,
Nisema tuu kwanza ile niliyo andika uzi nilisema ilikua siku ya 5, hii sikuwa sahihi,ile ilikua ni siku ya 8 na siku 14 ilitimia jana, Niseme tuu niliufata ule ushauri kuwa nisubiri mpaka hizo siku 14 zitimie kama tulivyo elekezwa ndio niende tena,
Jana JUMAMOSI ndio ilikua siku ya 14 hivyo tulienda tena hospital, baada ya kuwapa maelezo kuwa tumesubiri kwa siku 14 mlizo tupa lkn uchungu haujaja hivyo tumeruka kama mlivyo tuelekeza,
TULIAMBIWA TWENDE TENA NYUMBANI TUKASUBIRI SIKU 14 ZINGINE MPAKA UCHUKU UJE WENYEWE( kwa ujumla wake zingelikua siku 28)
Tuliona sasa hii hali si hali ya kawaida, tuliamua kuondoka na kwenda hospitali binafsi, kufika kule tukaeleza hali halisi toka mwanzo kabisa mpaka kufika tulipo fikia, Dactari yule wa ile hospital binafsi alionesha masikitiko ya hali ya juu, hivyo akasema Mgonjwa wetu atapatiwa huduma na kwa uwezo wa Mungu atakua salama,
Kwanza ilibidi afanyiwe tena Ultra sound ndipo shughuli zingine ziendelee, alifanyiwa Ultra Sound na kubaini kuwa kiumbe kile mule tumboni kimepoteza miezi miwili, yaani mwanzo kilikua na miezi 7 lkn jana kikakutwa na miez 5 na pia kilikua kimeanza kuharibika ngozi, Dactari alituambia kupungua kwa miezi kwa kiumbe hicho ni suala la kawaida kama kimefia tumboni, Hivyo alipewa kitanda na masuala ya utabibu yalianza
Ilimchukua masaa 7 mpaka 8 akajifungua kwa njia ya kawaida.
Kama Hospital binafsi suala linawezekana kwanini hizi hospitali za serikal, ambazo ndio kimbilio la wengi kulingana na vipato linashindikana!??
SERIKAL HII INAHITAJI KUJALI WATU WAKE,SIO KUWEKA TARATIBU ZA HOVYO KWENYE MASUALA YA AFYA YA WATU WAKE.
Ahsanten sana na niwashukuru wote kwa pamoja.
Ni matarajio yangu weekend inaenda swadacta na mapumziko yapo sawa sawia
Naomba msaada juu ya swala lililo mtokea Shemeji yangu (Mke wa kaka yangu),
Shemeji yangu huyu yeye ni mjamzito na ujauzito wake ulifikia miezi saba,alihisi mtoto apigi tena tumboni na akawa anahisi maumivu ya kichomi tumboni na hata akifanya shughuli za kuinama ( kama kufagia,kuosha vyombo n.k) alikua anahisi maumivu makali sana, Hivyo akapata wasiwas na kuamua kwenda hospitali kwa ajiri ya kufanya Ultra sound,
Bahati baya zaidi majibu yakatoka kuwa mtoto amefariki, kwasababu alienda ktk zahanati tuu, akashauriwa aende cliniki aliyokuwa ameanza kwenda ili akapewe rufaa ya kwenda hospital kubwa kwaajiri ya kwenda kuzalishwa na mambo kama hayo,
Kweli alipewa rufaa na kwenda huko hospital kubwa, baada ya kufika huko waliziona zile documents zote na kuthibitisha hilo, lakini sasa waka mwambia, madhari mtoto amefariki tumboni, hivyo uchungu huwa unakuja wenyewe automatic,
Hivyo wamempa siku 14 na kumwambia endapo zikamaliza hizo siku kumi na nne kama hajapata uchungu aende wakamzalishe, leo ni siku ya tano hana dalili zozote za uchungu, sasa nilikuwa naomba msaada kwa nyinyi wataalamu,
Je hii ya Mama mjamzito kukaa na kiumbe kilichokufa tumboni zaidi ya wiki sasa haitaleta madhara ya kiafya kwake baadae!? kama vile kuoza kwa mtoto na baadae kuoza kwa kizazi n.k
Lkn pia Je ni kweli lazima apewe hizi siku kumi na nne kwanza? ili apate uchungu mwenyewe!?
Mwisho kabisa Je kunauwezekano wa njia nyingine kutumia zaidi ya kusubiri hizi siku 14!?
Natanguliza shukrani za dhati.
Ahsante.
YALIYOJIRI HOSPITALI (UPDATES)
Kwanza awali ya yote nitoe shukrani na dhati kabisa kwa wote mliokuwa mmechangia ktk uzi huu, ushauri wenu niliupokea kwa mikono miwili, mlitoa ushauri nikaupokea kisha nikajiridhisha ni nini cha kufanya kulingana na ushauri husika,
Nisema tuu kwanza ile niliyo andika uzi nilisema ilikua siku ya 5, hii sikuwa sahihi,ile ilikua ni siku ya 8 na siku 14 ilitimia jana, Niseme tuu niliufata ule ushauri kuwa nisubiri mpaka hizo siku 14 zitimie kama tulivyo elekezwa ndio niende tena,
Jana JUMAMOSI ndio ilikua siku ya 14 hivyo tulienda tena hospital, baada ya kuwapa maelezo kuwa tumesubiri kwa siku 14 mlizo tupa lkn uchungu haujaja hivyo tumeruka kama mlivyo tuelekeza,
TULIAMBIWA TWENDE TENA NYUMBANI TUKASUBIRI SIKU 14 ZINGINE MPAKA UCHUKU UJE WENYEWE( kwa ujumla wake zingelikua siku 28)
Tuliona sasa hii hali si hali ya kawaida, tuliamua kuondoka na kwenda hospitali binafsi, kufika kule tukaeleza hali halisi toka mwanzo kabisa mpaka kufika tulipo fikia, Dactari yule wa ile hospital binafsi alionesha masikitiko ya hali ya juu, hivyo akasema Mgonjwa wetu atapatiwa huduma na kwa uwezo wa Mungu atakua salama,
Kwanza ilibidi afanyiwe tena Ultra sound ndipo shughuli zingine ziendelee, alifanyiwa Ultra Sound na kubaini kuwa kiumbe kile mule tumboni kimepoteza miezi miwili, yaani mwanzo kilikua na miezi 7 lkn jana kikakutwa na miez 5 na pia kilikua kimeanza kuharibika ngozi, Dactari alituambia kupungua kwa miezi kwa kiumbe hicho ni suala la kawaida kama kimefia tumboni, Hivyo alipewa kitanda na masuala ya utabibu yalianza
Ilimchukua masaa 7 mpaka 8 akajifungua kwa njia ya kawaida.
Kama Hospital binafsi suala linawezekana kwanini hizi hospitali za serikal, ambazo ndio kimbilio la wengi kulingana na vipato linashindikana!??
SERIKAL HII INAHITAJI KUJALI WATU WAKE,SIO KUWEKA TARATIBU ZA HOVYO KWENYE MASUALA YA AFYA YA WATU WAKE.
Ahsanten sana na niwashukuru wote kwa pamoja.