Mtoto aliyepanda ndege kwenda Zanzibar bila kuonekana ametoweka tena

ROBERT MICHAEL

JF-Expert Member
Oct 23, 2012
5,056
2,850
Mtoto Happiness Ryoba ambaye alisafiri Zanzibar bila kuonekanika na wafanyakazi wa kiwanja cha ndege cha Dar es salaam ametoweka tena nyumbani kwao huko kijiji cha Mkokozi ,kata ya Vikindu.Mtoto huyo alikibadhiwa kwa mama yake Sarah Zephania hiyo jana kutoka ustawi wa jamii Zanzibar.

Kupotea kwake leo kumejulikana baada ya mama yake kuenda kuwapokea waandishi wa ITV barabarani na kumuacha Sarah peke yake nyumbani.

Baada ya mama kurudi kupokea wageni hakumkuta mwanaye nyumbani na kila akiwauliza majirani walimjibu hawakumuona Sarah.

Source:ITV

Wasio mjua huyu mtoto wafuatilie hizi thread:

Mtoto asafiri na ndege kutoka Dar hadi Zanzibar bila ticket

Mzazi wa mtoto aliyesafiri kwa ndege kwenda Zanzibar ajitokeza
 
Mtoto aliyesafiri kwa ndege bila kujulikana Happines Ryoba amepotea tena huko kwao Mkokozi,Vikindu.Mama amegundua hivyo baada kurudi nyumbani alipoenda kuwapokea waandishi wa ITV.
Mtoto alikabidhiwa kwa mama yake Sarah Zephania kutoka ustawi wa jamii Zanzibar hapo jana.
Source:ITV
 
Mtoto Happiness Ryoba ambaye alisafiri Zanzibar bila kuonekanika na wafanyakazi wa kiwanja cha ndege cha Dar es salaam ametoweka tena nyumbani kwao huko kijiji cha Mkokozi ,kata ya Vikindu.Mtoto huyo alikibadhiwa kwa mama yake Sarah Zephania hiyo jana kutoka ustawi wa jamii Zanzibar.

Kupotea kwake leo kumejulikana baada ya mama yake kuenda kuwapokea waandishi wa ITV barabarani na kumuacha Sarah peke yake nyumbani.

Baada ya mama kurudi kupokea wageni hakumkuta mwanaye nyumbani na kila akiwauliza majirani walimjibu hawakumuona Sarah.

Source:ITV

Wasio mjua huyu mtoto wafuatilie hizi thread:

Mtoto asafiri na ndege kutoka Dar hadi Zanzibar bila ticket

Mzazi wa mtoto aliyesafiri kwa ndege kwenda Zanzibar ajitokeza
Hatari sana aisee.yule mtoto atakuwa na mapepo ndiyo maana wakimwonyesha kwenye tv huwa apendi kuwatazama
 
Nouma,Yule mtoto Shariff miaka ya 90,aliishiaga wapi?Ila Happy ni kiboko.
 
ImageUploadedByJamiiForums1410875275.505006.jpg
Yule Mtoto aliyepatikana Zanzibar uwanja wa ndege na kukabidhiwa kwa mama yake. Amepotea tena
 
Alikuwa wapi, na nani wakati ana 'put on the Disappearing act'? More details pls.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom