Mtoto akilea Mtoto Mwenzake

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
_mtotokabebamtoto.jpg


Hii picha imenipa tafakuri kubwa sana....mtoto akilea mtoto Mwenzake, upendo wa hali ya juu

Kwa hisani ya MichuziJr
 
Masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!
 
Masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!

Nakubaliana na wewe ila huyo ni mdogo sana kubebeshwa mtoto mgongoni....jamaa wa haki za watoto na child labor wanaweza komaa na wazazi!
 
Nakubaliana na wewe ila huyo ni mdogo sana kubebeshwa mtoto mgongoni....jamaa wa haki za watoto na child labor wanaweza komaa na wazazi!

Masa nakwambia mi nilikuwa nabebeshwa midogo, nilikuwa nalia saa zingine the whole day na bega, maza tena anakuja nishushia kipondo.......! mzee kuanzia four years up.....bush unaanza kushughulishwa kihivyo.....!
 
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.

Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.

Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa !
 
Masa nakwambia mi nilikuwa nabebeshwa midogo, nilikuwa nalia saa zingine the whole day na bega, maza tena anakuja nishushia kipondo.......! mzee kuanzia four years up.....bush unaanza kushughulishwa kihivyo.....!

Kazi kweli kweli....tumetoka mbali kumbe!
 
Du!This is too much for one person to watch!Hali ya maisha ndo inalazimisha mama mwenye mtoto apange ratiba hizi kwa mtoto huyu...! Hii hali ni ya kweli kabisa, na tulio wengi tumekulia vijijini tukaiona live!...Too bad,...ooohh! imenisikitisha na kunikumbusha mbali!
 
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.

Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.

Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa !

Nakubaliana na wewe, inawezekana kabisa hako katoto kameajiliwa kulea huyo mtoto kwa malipo duni.
 
hee huyo mtoto mbona ni mdogo sana harafu aliyebebwa anaonekana ni mzito na mwenye afya tele
 
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.

Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.

Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa ![/QUOTE]

kama ni H/girl huu ni unyanyasaji wa haki za watoto inasikitisha sana
 
Kazi kweli kweli....tumetoka mbali kumbe!

We acha tu mkuu.........! Ngoja nikija enda bush one day, tafanya upaparazi na kuwaletea mapicha zaidi....uone vitoto vya dizaini hiyo vinapiga jembe na kupangiwa miraba kama vijitu vizima.......! We acha tu...ila wale waliozaliwa na kukulia town, they will never understand and accept this!
 
kusoma sio lazima uve tai, kusoma ni kufanya ubongo ufanye kazi kurahisisha pale palipo pagumu au kusahihisha pale palipokosewa, ikiwa wewe ulilelewa kama hivyo na bado unatetea malezi hayo bora urudi tena shule ya vidudu ukasome tena au mwalimu alikupelekesha, hivi mpaka lini tutakaa na kuendeleza mila hizi?
Huyo dogo naona amepewa mtoto kulea na mama yake ambae ni housegirl, sasa mama anendelea na kazi na dogo anapiga mzigo, kwa haraka mama amepata msaada inasikitisha kweli hivi Tanzania mpaka lini viongozi wetu watakuwa na akili za uongozi? bado wanaona wao ni wanyapara tu na sisi makabwela wa kupokea amri? kwa kweli nina hasira kweli
 
Haki ya mtoto ipo wapi, anatakiwa aende shule huyu mtoto, na acheze, lakini tayari ameshapewa responsibilities. EE Mungu mwokoe mtoto wa kike wa Kitanzania na Africa.
 
Huu ni unyanyasaji kabisaaaaaaaa!! Mtoto aliyombeba mtoto mwenzake naye bado alikuwa anahitaji malezi. Umaskini mbaya jamani mhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!
 
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.

Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.

Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa !

I hate to think that's the case BUT you may be right. Mungu atusamehe…yaani picha hii inaumiza sana roho. Alafu utasikia ‘life is fair' how????
 
Masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!

NL umenikumbusha mbali kweli,wenyewe kule kwetu tunasema umwana lulilo
 
Inasikitisha lakini ndio mazingira yenyewe haya. Umeshajiuliza kuhusu wale ambao unawaona wamezagaa barabarani wakiomba na viongozi wa serikali pamoja na maafisa ustawi wa jamii wanapita kama hawawajui! Mpaka fulani aseme. Au utasikia , sasa hivi hatuna fungu.Mpaka serikali itoe fungu. Yaani its a shame. Halafu hao unaowaona wanaranda randa barabarani wako more exposed na magonjwa, kubakwa, madawa ya kulevya na uhalifu. Ukifanya utafiti utagundua kuwa kila mtoto ana experiense ya kunyanyaswa kijinsia. Awe wa kike au wa kiume. Wao na watoto wao wamekaa tu na kuangalia. Sasa hapa alaumiwe nani. Aliyezaa na kutelekeza? Au Serikali iliyoshindwa kujenga mazingira endelevu katika ule msemo wetu ule wa "Maisha bora kwa kila Mtanzania"
 
_mtotokabebamtoto.jpg


Hii picha imenipa tafakuri kubwa sana....mtoto akilea mtoto Mwenzake, upendo wa hali ya juu

Kwa hisani ya MichuziJr

Inaumiza kweli kweli, aliyebeba hana hata viatu, na inaonekana kuwa hajakula chakula. Bila shaka, Mama wa mtoto aliyebebwa yupo akiangalia mwanawe kwa mbali.

 
masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! Acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!

yeyooo, hapo full kulamba pp tuuu! Ebana umenikumbusha enzi mzee, uji unampozea haf, haf unakunywa mwenyewe! Kudadadeeki!
 
Back
Top Bottom