Masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!
Nakubaliana na wewe ila huyo ni mdogo sana kubebeshwa mtoto mgongoni....jamaa wa haki za watoto na child labor wanaweza komaa na wazazi!
Masa nakwambia mi nilikuwa nabebeshwa midogo, nilikuwa nalia saa zingine the whole day na bega, maza tena anakuja nishushia kipondo.......! mzee kuanzia four years up.....bush unaanza kushughulishwa kihivyo.....!
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.
Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.
Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa !
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.
Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.
Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa ![/QUOTE]
kama ni H/girl huu ni unyanyasaji wa haki za watoto inasikitisha sana
Kazi kweli kweli....tumetoka mbali kumbe!
To be honest, hii picha inasikitisha na inatoa ujumbe mkubwa sana kuhusu jamii tunamoishi!! Ukimwangalia mtoto aliyebebwa ana afya njema, ni msafi na amevaa viatu, kwa hiyo hawa sio masikini wa kupindukia.
Ila mtoto aliyembeba anaonekana mchafu na asiye na matumaini katika maisha. Sura yake inaelezea masaibu mengi aliyonayo katika maisha.
Nikifikiria kwa haraka haraka ni kwamba mtoto huyu aliyembeba mwenzake atakuwa analelewa na mama wa kambo, ama ni yatima aliyekosa mwelekeo wa maisha na kuambulia kupewa ajira ya watoto. Usishangae kwa Tanzania kwamba mtoto huyo aliyembeba mwenzake akawa ni ''housegirl'' wa mtu anayefanya kazi ofisini na amesoma shule kabisa !
Masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!
Hii picha imenipa tafakuri kubwa sana....mtoto akilea mtoto Mwenzake, upendo wa hali ya juu
Kwa hisani ya MichuziJr
masa .....hizi bush mbona normal mkuu? Mwenyewe enzi hizo nilifanya....hapo unapewa viazi vitamu au makande umtafunie dogo then umlishe.......! Acha bana, nusu unameza, nusu unampa dogo......ilikuwa dili sana kumbeba dogo kihivo, kulikuwa na opportunity nyingi....moja wapo kutega kazi nyingine, kula, kuzurura.....!