BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,020
- 8,480
Huku Barca, kule Liverpool, hapa Simba then mbege na mtori....mwaka wa raha sana huu
Nilikuwa sijui kama unashabikia liverkuku kamanda 😂 😂 Hongereni sana
Huku Barca, kule Liverpool, hapa Simba then mbege na mtori....mwaka wa raha sana huu
Tuko pamoja. Machaguo sahihi haya!Huku Barca, kule Liverpool, hapa Simba then mbege na mtori....mwaka wa raha sana huu
hahah!we unakunywa mtor wa wap wenye kitunguu?Utamu wa mtori vitunguu.
man city kanivurugia dadadekHa haa poa kamanda,
Barca 4-0 Sevilla, FT
Usiku mwema!
Mtori ukipikwa vizuri ukinywa ndani ya mwezi mmoja kitambi kinakuja bila shida.....Mtori plus pepsi baridi
shenz sanaa hawa,na nmeapa cwap tena😂Wamenikera sana
Bila kumsahau manyox msoma uzi za watu
Chezea chagas weweMtori asili yake ni chakula cha kabila la wachaga. Hiki chakula ni maalum (kilikuwa maalum kuwa sahihi zaidi) kwa kinamama waliojifungua. Miezi mitatu baada ya kujifungua ndicho kilikuwa chakula chao kikuu (pamoja na kingine cha aina ya mtori, lakini badala ya nyama na supu kinachanganywa na maziwa ya ng'ombe ya mgando). Siku hizi mtori umeenea sehemu nyingi na umekuwa unauzwa kama kifungua kinywa.
Hahaha lazma niwepo si unajua tena?Eee mambo ya mtori mtori babaa..Mada kama hizi huwa hukosekani kamanda wangu
kwakweliWa dar huo
Mtori ukipikwa vizuri ukinywa ndani ya mwezi mmoja kitambi kinakuja bila shida.....
Tanzania....Habarini wakuu
Hivi hiki kinywaji kina asili ya mkoa gani?
Mtori kimekuwa chakula cha kibongo...ukienda mbeya unakikuta, dodoma kipo dar ndio balaa mwanza usiseme...Mtori uchagani
Ng'ande uchagani
Mtori ni ng'ande iliyochangamka