Mtoa taarifa (Dkt. Mwele) 'ametumbuliwa', mficha taarifa huko Singida aswekwa rumande kwa saa kadhaa

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Nov 25, 2010
6,135
17,802
Hapa Dar, Dr. Mwele Malecela alitoa taarifa juu ya ugonjwa wa zika kupitia Taasisi aliyokuwa akiiongoza ya NIMR. Kwanza, taarifa zake zikakanushwa kwa haraka. Akatumbuliwa. Akakubali matokeo na anasonga mbele.

Mkoani Singida, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida 'ameficha' taarifa juu ya uwepo wa ugonjwa wa kipindupindu katika Wilaya yake ya Singida. Mkuu wa Mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi akamsweka rumande kwa saa kadhaa.

Kwanini viongozi wetu hamsomeki? Au zika inaogopesha kuliko kipindupindu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
 
Leo siku ya kazi mpo tu mnaamkia kwenye kulalamika hamna aibu?

Halafu mnasema maisha magumu
 
Hapa Dar, Dr. Mwele Malecela alitoa taarifa juu ya ugonjwa wa zika kupitia Taasisi aliyokuwa akiiongoza ya NIMR. Kwanza, taarifa zake zikakanushwa kwa haraka. Akatumbuliwa. Akakubali matokeo na anasonga mbele.

Mkoani Singida, Mganga Mkuu wa Wilaya ya Singida 'ameficha' taarifa juu ya uwepo wa ugonjwa wa kipindupindu katika Wilaya yake ya Singida. Mkuu wa Mkoa wa Singida, Rehema Nchimbi akamsweka rumande kwa saa kadhaa.

Kwanini viongozi wetu hamsomeki? Au zika inaogopesha kuliko kipindupindu?

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kwanza tujiulize huyo alie toa taarifa ya ugonjwa anayo haki na mamlaka ya kufanya hivyo na huyo alieficha magonjwa huko singida na yeye anayo haki mamlaka yakuficha maradhi?
 
Kwanza tujiulize huyo alie toa taarifa ya ugonjwa anayo haki na mamlaka ya kufanya hivyo na huyo alieficha magonjwa huko singida na yeye anayo haki mamlaka yakuficha maradhi?
Sasa kama yote mawili yanaonekana ni haramu unadhan wewe kama GT jibu ni lipi hapo?
 
Back
Top Bottom