BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Wapendwa ktk bwana
Bwana Yesu Asifiwe
Assalahm Allheikhum
Wa NEC kuna malori yanaendelea kubeba mchanga mto Kawe ingawa mh Makonda alishawahi kupiga marufuku
Hali ya mto kawe si salama hata kidogo tena kwa uchimbaji tunaomba NEC wafike waone hali halisi
Hizi lori zinazolipa wahuni kadhaa waliojimilikisha mto Kawe na hata kuanzisha SACCOS yao kutokana na pesa za mtoni
Mto huu kuna watu wa manispaa wamekuwa wakija na mashine na kulipiza kila lori
Nabaki najiuliza sana hivi TRA wako wapi iweje sehemu zingine wapo huku mtoni kama wamewapa kibali nani anahusika na kwanini TRA awakusanyi kodi
Mh Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni msaada wako tafadhali maana hata polisi wa Kawe wakiongozwa na mkuu wao wanajua huu uchafu
Mbaya zaidi gari za polisi zimekuwa zikishuka chini na kugeuka bila mafanikio ya kusitisha nawaza zinakuja kufanya nini?
Naamini Serikali mtalisimamia hili..
Bwana Yesu Asifiwe
Assalahm Allheikhum
Wa NEC kuna malori yanaendelea kubeba mchanga mto Kawe ingawa mh Makonda alishawahi kupiga marufuku
Hali ya mto kawe si salama hata kidogo tena kwa uchimbaji tunaomba NEC wafike waone hali halisi
Hizi lori zinazolipa wahuni kadhaa waliojimilikisha mto Kawe na hata kuanzisha SACCOS yao kutokana na pesa za mtoni
Mto huu kuna watu wa manispaa wamekuwa wakija na mashine na kulipiza kila lori
Nabaki najiuliza sana hivi TRA wako wapi iweje sehemu zingine wapo huku mtoni kama wamewapa kibali nani anahusika na kwanini TRA awakusanyi kodi
Mh Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni msaada wako tafadhali maana hata polisi wa Kawe wakiongozwa na mkuu wao wanajua huu uchafu
Mbaya zaidi gari za polisi zimekuwa zikishuka chini na kugeuka bila mafanikio ya kusitisha nawaza zinakuja kufanya nini?
Naamini Serikali mtalisimamia hili..