Mtizamo juu ya Tatoo

Cha muhimu tumia Kondom
Wakuu salaam,

Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli fulani.

Wanawake walio jichora tatoo wengi wao wana hulka za kuwa cheap yani haupati shida uki muhitaji. yani kwa sasa nimefikia hatua naona demu akiwa na tatoo niki muhitaji wakati wowote naweza mpata bila shida.

Wakuu naomba maoni yenu kama mtizamo wangu huu uko sawa au mwaonaje.
 
nina tatooo (mimi wakiume)

ukimuona wakike ana tatooo (mawazo yako yapo sahihi)

Hujakosea kabisa.

Ukifika muda unaulizia kuhusu wanaume

nitag nikwambie ipoje kwa wanaume
 
Ayo ni mawazo yenu na kila mtu ana mtazamo wake..binafsi nimeshabook kuchora tatoo ya sura ya mama angu next week sababu sina picha yake kwenye cm angu ila kwenye album zipo lakini naona hazitadumu na napenda niwe na kitu mda ote ambacho nikikiona ni kama namuenz mama angu RIP...kaburi lake nimeshindwa kulifanya imara mana sina ela na ndugu baada ya kuzika wapo bze na mambo yao sasa ntamuenz vpiii na sitaki ibada za makaburini mimi kila mwaka..najua ni dhambi ila sura ya mama angu lazma ikae kwenye mwili wangu.
kuchora tattoo sh ngap na kujengea kaburi sh ngap?
 
Hayo ni mawazo yako tu mkuu. Tattoo ni kama urembo na nikiona mtu kachora nafurahi sana.
Tatizo mi siwezi kuchora ila ningekua na ubavu ningeshachoraga
 
Naogopa kutobolewa plus naangalia mbele zaidi. Tattoo zinakosesha watu fursa kwa mawazo kama haya kuwa tattoo ni uhuni
Okay,kwahiyo wewe kama ungekuwa una ubavu ungependa kuochora wapi yaani sehemu gani ya mwili wako ?
 
Wengi waliojichora baadae wanakuja kujuta, na wanatamani kuziondoa.

Ushahidi ninao
 
Back
Top Bottom