Ubuntuwize
JF-Expert Member
- Jan 23, 2014
- 312
- 91
Wakuu salaam,
Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli fulani.
Wanawake walio jichora tatoo wengi wao wana hulka za kuwa cheap yani haupati shida uki muhitaji. yani kwa sasa nimefikia hatua naona demu akiwa na tatoo niki muhitaji wakati wowote naweza mpata bila shida.
Wakuu naomba maoni yenu kama mtizamo wangu huu uko sawa au mwaonaje.
Wacha niende moja kwa moja katika mada Tajwa hapo juu. Nimekua na mtizmo tofauti kidogo ambao nimejaribu kuchukua hatua kidogo kuufanyia utafiti, na nimekuja kuona kama kuna ukweli fulani.
Wanawake walio jichora tatoo wengi wao wana hulka za kuwa cheap yani haupati shida uki muhitaji. yani kwa sasa nimefikia hatua naona demu akiwa na tatoo niki muhitaji wakati wowote naweza mpata bila shida.
Wakuu naomba maoni yenu kama mtizamo wangu huu uko sawa au mwaonaje.