Mtiririko wa Maisha ya kijana wa kiume wa kitanzania

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,674
--Miaka 2 mpaka 18, yuko darasani anapambana kupata cheti cha kidato cha nne,

--miaka 19 mpaka 24, anaangaika na mahusiano kila anachopata anawaza atumie na demu wake,

--miaka 25 mpaka 30, ametoka home na kukaa gheto ili kujipanga wengine hapa uvumilivu unawashinda wanaoa kabisa,

--Miaka 30 mpaka 40, anaangaika kutafuta pesa za kununua kiwanja na kutaka kuanza kujenga, majukumu nayo ada za watoto kulea familia za ndugu na wazazi,

--Miaka 41 mpaka 50,kashapambana na kujibana sana angalau ameweza kujenga na kuishi kwake,

--Akishajenga tu anakaa miaka 5 kwenye nyumba yake Anafariki kwa pressure, au kisukari kwa sababu ya madeni,


Yaani zile haso zake zote alizopitia anakuja kupumzika kwa gheto lake akiwa na miaka kichele tu na kudanchi,

Vijana acheni mawazo ya kujenga wazeni kwenye kumiliki asset kama viwanja, wekeza kwenye biashara na N.K

Igeni wahindi ata awe boss vipi lakini bado ataishi kwenye nyumba ya familia,

Imagine baba yako kajenga, wadogo zako wamejenga, ndugu zako wamejenga na bado watoto wako watataka kujenga na sio kuishi pale ulipojenga wewe baada ya miaka 200 mbele itakuaje,

Majumba yote baada ya vifo vyao yatabaki kuwa magofu tu kwa sababu yatakosa mkaaji,


Mimi nitaishi tu kwa mzee wangu hela zangu nitafanyia mambo mengine kitu pekee nitakachofanya ni kupaendeleza na kupa update pale alipoishia mzee ili pazidi kuwa na muonekano wa kisasa.
 
--Miaka 2 mpaka 18, yuko darasani anapambana kupata cheti cha kidato cha nne,

--miaka 19 mpaka 24, anaangaika na mahusiano kila anachopata anawaza atumie na demu wake,

--miaka 25 mpaka 30, ametoka home na kukaa gheto ili kujipanga wengine hapa uvumilivu unawashinda wanaoa kabisa,

--Miaka 30 mpaka 40, anaangaika kutafuta pesa za kununua kiwanja na kutaka kuanza kujenga, majukumu nayo ada za watoto kulea familia za ndugu na wazazi,

--Miaka 41 mpaka 50,kashapambana na kujibana sana angalau ameweza kujenga na kuishi kwake,

--Akishajenga tu anakaa miaka 5 kwenye nyumba yake Anafariki kwa pressure, au kisukari kwa sababu ya madeni,


Yaani zile haso zake zote alizopitia anakuja kupumzika kwa gheto lake akiwa na miaka kichele tu na kudanchi,

Vijana acheni mawazo ya kujenga wazeni kwenye kumiliki asset kama viwanja, wekeza kwenye biashara na N.K

Igeni wahindi ata awe boss vipi lakini bado ataishi kwenye nyumba ya familia,

Imagine baba yako kajenga, wadogo zako wamejenga, ndugu zako wamejenga na bado watoto wako watataka kujenga na sio kuishi pale ulipojenga wewe baada ya miaka 200 mbele itakuaje,

Majumba yote baada ya vifo vyao yatabaki kuwa magofu tu kwa sababu yatakosa mkaaji,


Mimi nitaishi tu kwa mzee wangu hela zangu nitafanyia mambo mengine kitu pekee nitakachofanya ni kupaendeleza na kupa update pale alipoishia mzee ili pazidi kuwa na muonekano wa kisasa.
Mmh..sio kila mwanaume anaweza kupita Kama kwa mtiririko huo watu wanahassle Kwa njia na umri tofauti tofauti..
 
Back
Top Bottom