Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,117
- 3,040
Napita tuuuu
Daud Bashite.
Kwa aliyesikia utambulisho, huyo baba yake Daud hapo kajitambulisha jina gani vile?
Hajajitambulisha
Napita tuuuu
Daud Bashite.
Kwa aliyesikia utambulisho, huyo baba yake Daud hapo kajitambulisha jina gani vile?
k muuza papuchi wa buguruniSuala si elimu kubwa, suala ni kufoji. Hivi nyinyi mademu wa Lumumba ni nani amewaroga au mmeamua tuu kujitoa ufahamu?
ana elimu gan? jibu acha kutokwa na povuAcha kuongea upepo. Kagame hana elimu Kubwa???
NI KANDA YA KUSINI NA WANATOKA WOTE RUFIJI SIYO? NAFASI HIZO NI MAPENZI YA MTEUZI HABANWI NA KIFUNGU CHOCHOTE CHA KATIBA NI SAWA NA WEWE PESA ZAKO UNAMPA NANI AKUTUNZIE AU MKEO UNAMWACHA WAPI WAKATI UNAKWENDA ENEO LISOHITAJI UWEPO WA MKEO KWA HIYO USILIE NDG YANGU SUBIRI WA KWENU AKIJA NAYE ATAFANYA YANAYOURIDHISHA MOYO WAKE.Waitara,kyaro,nyirabu na siyo hawakuwa kabila moja na mwl Nyerere, Nyerere mzanaki hao wengine wa kura na jamii. Kwanini ukabila wenu unauhalalisha kwa kutumia matendo yasiyo fanana na Nyerere????
kutoka kwa daudi albert bashite a.k.a paul makonda "...ni heri kuwa mkuu wa mkoa kwa siku moja kuliko kuona watu wa mkoa wako wanaangamia na madawa ya kulevya.." ni hayo tu..
Ingesubiri liniMbona haya hayakusemwa kabla hajatoa list ya wala unga?
Mbona haya hayakusemwa kabla hajatoa list ya wala unga?
Lana ya Huyu bwana ni kumpiga Mtama Mzee warioba, namshangaa Kipi pamoja na ukenya wake ku put up na hiyo rubbish. Tapes zipo uchaguzi umepita sasa nenda mahakamani . You are also cheap ni Huo u dc?Enzi zile kununua cheti ilikuwa cheap,halafu kumbuka kuwa Daudi ana tabia ya kujipendekeza kwa wenye pesa,hivyo asingekosa elfu 10 ya kununua cheti.
lukuvi nae anamsaka bashite kazi anayo mwaka huuDaudii umekimbia mahakamani, umeikimbia radio yako ya clouds, na una mpango wa kukimbia kuhojiwa na bunge, mwaka huu wako utajuta kuapata zero form four, nilitaka kusahau lisu anakusubiri kwa hamu mahakama kuu akupige maswali ya elimu yako mpaka uone kizungu zunngu