kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
....Kama Rais yupo siriaz na kuchungunza vyeti basi aanze na viongozi aliowateuwa.
mmh!...usisahau kuwa yeye mwenyewe Phd yake ilikuwa inatiliwa shaka sana ben saanane.
kuna watu wanatilia shaka kutoweka kwa saanane na suala lake la kuhoji PhD ya mkulu.