Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,893
- 16,317
- Thread starter
- #121
Okay...Ukweli utabaki pale pale, hakuna mtu atajenga makaazi ya kuridhisha na kuweka mazingira safi kijijini kwao alafu asiwe na tabia ya kuwapeleka watoto wake au yeye kwenda kijijini walau mara moja kwa mwaka, wasiokuwa na tabia ya kwenda kijijini mara nyingi hata mazingira hawajandaa vizuri. Nimejifunza kwa Wachaga na Wahaya, ukweli hawa watu utamaduni wao unaendana wote wanajitahid sana kutengeneza makwao vijijini ndiyo maana walio wengi wanazikwa kwao na pia wanatabia za kuwapeleka watoto kwao.