Patriot
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 5,698
- 4,693
Kwa maoni yangu, tuliposhindwa kuunda katiba mpya ilikuwa ni ishara ya utawala mbovu kabisa! Kwamba Bunge na Serikali vyote vilikuwa viko taaban!
Yawezekana biashara ya Ndege ni mbaya lakini kila taifa hutamani kuwa na ndege chache. Treni ni muhimu pia. Tujiulize Ilikuwaje kwa miaka yote hiyo tukashindwa kununua ndege hata moja? Ilikuwaje miaka yote watoto mashuleni wakakosa madawati? Hatukuwa na mradi wowote wa maana kwa miaka yote hiyo na bado bajeti ikapanda kufikia zaidi ta trilioni 22!
Tatizo letu kubwa ilikuwa ni wizi. Kwa kuanza kufukuza na kuzuia wizi ni hatua muhimu. Wezi bado ni wengi lakini hiyo ni ishara ya kufahamu matatizo yako wapi.
Yawezekana biashara ya Ndege ni mbaya lakini kila taifa hutamani kuwa na ndege chache. Treni ni muhimu pia. Tujiulize Ilikuwaje kwa miaka yote hiyo tukashindwa kununua ndege hata moja? Ilikuwaje miaka yote watoto mashuleni wakakosa madawati? Hatukuwa na mradi wowote wa maana kwa miaka yote hiyo na bado bajeti ikapanda kufikia zaidi ta trilioni 22!
Tatizo letu kubwa ilikuwa ni wizi. Kwa kuanza kufukuza na kuzuia wizi ni hatua muhimu. Wezi bado ni wengi lakini hiyo ni ishara ya kufahamu matatizo yako wapi.