Mtindo huu ni wa nchi gani?

Mapouka ni West Africa kama alivyosema Nzokanhyilu nadhani ilianzia Ivory Coast na kusambaa kwingine.
 
Mapouka au Mapuka kama jamaa wengine wanavyosema ni mtindo ambao umeanzia Ivory Coast. Chanzo ni staili ya ngoma ya kienyeji ambayo kawaida yake wanawake wanatingisha mwili na kuchochea hamasa za nyege kwa kadamnasi. Staili hii kwa sasa ni mziki wa dansi kama vile ndombolo n.k. Ukiangalia video nyingi za mapouka mtandaoni utaona zinatilia mkazo sana aidha mauno au matako ya wanawake.

Kuna mtindo mwingine ambao ni karibu na Mapouka na jamaa wameubatiza Coupe de Cale!

Zaidi unaweza kupata Wikipedia

Unakaribishwa Kongoi Media Productions vile vile!

Au daunlodi Ras Nas Dar-es-Salaam kwa bure!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom