Nyonzo bin mvule
JF-Expert Member
- Sep 19, 2020
- 2,165
- 6,090
Siku hizi wanajiita utapu utapu fc jina kalitoa mack yanga juzi
😀 Mtani wangu kwani na wewe umetikisika? 😀makambo ndo wakutikisa jiji?
Nadhani ni vile timu bado haijawa na mfumo thabiti upande wa uendeshwaji ikifikia hatua hiyo haya hamutayaona tena.Kila mwaka mnajenga timu
Topolos wanatikisa ati ... tafsiri ya haraka haraka ya free transfer ni magalasa.Mhhh Ila Yanga Kwa kupangwa Tu na kukubali mko vizuri aisee hebu tuanze na Shabani Djuma free,Mayele free, Makambo, Ambundo free dogo wa Ud songo free, huyu Aucho ambae wanataka Yanga na Simba ni free pia kasoro Banda tu, kama Banda mtamchukua hapo kweli itakuwa mmenunua tofauti na hao Mtani hebu nambie ni mchezaji gani ambae mmenunua akiwa na mkataba?
Ahsante Mtani!! Japo najikuta nawaza kuwa ipo haja ya sisi mashabiki wa Timu ya Wananchi kuwa na subira hasa mpaka afikie yule Makambo wa kipindi ile kwani huyu wa sasa hakuwa na ule moto alioondoka nao.Hongera mtani kumrudisha makambo
Kwani Wananchi Leo wamtangaza nani? Naona kama kweli watu wanapatwa na kiwewe
Hata wale MAITI wenu wa usajili wa last season WAMEFANYA NN?Article kubwaaa,mlienda kwa mkaambiwa bei yake mkakimbia,kwa taarifa yako mayele na djuma Yanga imewanunua sema huko kwenu kununua mchezaji ni kitu cha ajabu ndio maana unaleta ligi
View attachment 1878770
Hamna klabu ya congo itakayokuachia mchezaji tegemezi free agent,congo utamaduni wao miaka na miaka kucreate wachezaji na kuuza,mayele top scorer vita club na yuko national team,wadanganye huko kwenye vijiwe vya kahawa,Yanga yenyewe kuna mkongo imemuongezea mkataba juzi baada ya kupata offer south na morocco na ndio maana wanatafuta kiungo mkabaji maana jan wanaweza kumuuzaManara sio mjinga Mzee, manara alitumika na GSM kuwahadaa washabiki wa Yanga ili muwaone watu na nusu eti mmevunja mkataba na bei yake ni ndefu Sana na Simba ameshindwa kumnunua ili kupoteza fukuto la ujio wa Manji maana kuna wanachama walikuwa hawamtaki GSM wanamtaka Manji
Kuongoza Yanga ni rahisi Sana mkuu maana kazi yako wewe wambie tu mnavunja mikataba ya wachezaji,waambie tumenunua top scorer wa Kongo kumbe Kamba, waahidi makombe na ligi ikianza waambie wanaonewa na bodi ya ligi,waambie wanaonewa na marefa,waambie wanaonewa na raisi wa tff basi life cycle ya furaha ya Yanga inakuwa imeisha Hadi dirisha la usajili tena
Kumbe unaongelea top scorer wa As vita mbona me sikatai, me nilikuwa naongelea top scorer wa ligi ya kuwa sio mayeleHamna klabu ya congo itakayokuachia mchezaji tegemezi free agent,congo utamaduni wao miaka na miaka kucreate wachezaji na kuuza,mayele top scorer vita club na yuko national team,wadanganye huko kwenye vijiwe vya kahawa,Yanga yenyewe kuna mkongo imemuongezea mkataba juzi baada ya kupata offer south na morocco na ndio maana wanatafuta kiungo mkabaji maana jan wanaweza kumuuza
Nani asiemjua top scorer wa congo,mayele ni top scorer wa vita club,na yupo national team,wacongo unawajua vizuri wewe eti mayele awe free agent!unadhani jimmy kindoki yule!Kumbe unaongelea top scorer wa As vita mbona me sikatai, me nilikuwa naongelea top scorer wa ligi ya kuwa sio mayele
Hapo Tu ndio uzuri wa mashabiki wa Yanga unapokuja Yani mkiambiwa kitu na engineer inakuwa Sheria sijui smartphone zenu mnatumia kuingilia Instagram, Facebook na jamii forum Tu, kwahiyo unashindwa kutafuta info kuwa wachezaji wenu ni free agent? Anyway mkuu tuishie hapa mkuu tufanye mmevunja mikataba roho yako iridhike
Anyway nimekuwekea na picha ya top scorer wa ligi ya Kongo angalau uongeze kitu mtani
View attachment 1879012
Siku sio nyingi utajua Tu ukweli ngoja waendelee kumuongeleaNani asiemjua top scorer wa congo,mayele ni top scorer wa vita club,na yupo national team,wacongo unawajua vizuri wewe eti mayele awe free agent!unadhani jimmy kindoki yule!
Kumbe source yako ni huyo manara
Nyie mbumbumbu/bodaboda/mikia mbona mnarukia mambo yasiyowahusu Yanga wamesema nchi itasimama nini kinakuwasha wewe
Amen to thatNadhani ni vile timu bado haijawa na mfumo thabiti upande wa uendeshwaji ikifikia hatua hiyo haya hamutayaona tena.
Kwani tutakuwa tunasajili vile vyuma kweli kweli.
Nime google profile ya huyo Mayele hamna kitu,Mayele mmepigwa asubuhi na mapema.Nani asiemjua top scorer wa congo,mayele ni top scorer wa vita club,na yupo national team,wacongo unawajua vizuri wewe eti mayele awe free agent!unadhani jimmy kindoki yule!
Humjui mayele wewe,muulize kaseja alimfanya nini kwa mkapa mwaka huu huu friend match na drcNime google profile ya huyo Mayele hamna kitu,Mayele mmepigwa asubuhi na mapema.
Ila tusiandikie mate wakati wino upo,ligi itaanza muda simrefu tutamuona anavyokatika mayeno ndomboro ya solo.
Nime google profile ya huyo Mayele hamna kitu,Mayele mmepigwa asubuhi na mapema.
Ila tusiandikie mate wakati wino upo,ligi itaanza muda simrefu tutamuona anavyokatika mayeno ndomboro ya solo.
Vipi safari hii hatobebwa mtu kwa machela wakati wa kuwapokea wageni?Klabu ya Yanga kwa kupitia mitandao yake ya kijamii imetangaza kuwa Leo Jiji na Nchi nzima itazizima kwa Usajili itakaoutangaza kesho
Wananchi wanasema wao Wana watu mpaka huko "Upande wa Pili", wamepindua meza kibabe
Tujumuike nami hapo Leo baadae tuone kishindo Cha Wananchi
View attachment 1877964