Karibu ndani ya Chama cha Kutetea Haki na Maslahi ya Waalimu Tanzania (CHAKAMWATA). Hiki ni chama mmbadala wa CWT, nk.
Ukijiunga na chama hiki utapata faida kadhaa ambazo huwezi kuzipata ukiwa CWT. Baadhi ya faida hizo ni:
Mosi; utakatwa 1% tu ya mshahara wako tofauti na CWT wanaokata 2% ya mshahara wako. Hivyo haya ni maajabu pekee yanayotokea huko CWT dhidi ya "haki" inayopatikana CHAKAMWATA.
Pili; ukistaafu kazi, ukisimamishwa kazi au kifo-kwa mwanachama, utarejeshewa nusu ya mchango uliochangia ndani ya chama, tofauti na maajabu yanayofanywa CWT.
KARIBU
Ukijiunga na chama hiki utapata faida kadhaa ambazo huwezi kuzipata ukiwa CWT. Baadhi ya faida hizo ni:
Mosi; utakatwa 1% tu ya mshahara wako tofauti na CWT wanaokata 2% ya mshahara wako. Hivyo haya ni maajabu pekee yanayotokea huko CWT dhidi ya "haki" inayopatikana CHAKAMWATA.
Pili; ukistaafu kazi, ukisimamishwa kazi au kifo-kwa mwanachama, utarejeshewa nusu ya mchango uliochangia ndani ya chama, tofauti na maajabu yanayofanywa CWT.
KARIBU