Prince Tumbo
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 910
- 247
Kama Mtikila amekuwa akiiburuza serikali mahakamani kwa makosa mbalimbali na kuishinda, sasa nawaomba wanasheria hawa kuiburuza serikali mahakamani kwa makosa yafuatayo 1. Kutekwa kwa ulimboka na kibanda 2.kwa kuwasamehe mafisadi wa fedha za EPA (kwa nini serikali iliamua kujifanya ni mahakama na kuwasamehe?) 3. Kinana-Ujangili na makosa mengine. Fanyeni hivo kwa sababu mahakama zetu zisiwe kwa ajiri ya walala hoi wakati jinai inafanywa hata na serikali yenyewe...Teteeni haki za watanzania, teteeni uchumi wa nchi, hata kama ni mahakama za kimataifa,serikali ikajibu makosa haya..haiwezekani watu wafe, fedha za uma ziibiwe,wanyama waibiwe harafu CCM iendelee kuiba hata kura zetu kwenye chaguzi, TUTAKUFA NA UMASKINI,peleka mahakamani...