huyu mzee ana Tuhuma nyingi sana za rushwa, kuna ile hela alimzika Rostam; kazee ni kamafia kinoma, Usiombe ukaingia anga za kenyewe umekwisha!!Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,
Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,
Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,
Watanzania kila siku tunalalamika ni kwa nini nchi yetu ina raslimali zote za kuifanya iende mbele lakini imebakia kuwa masikini na hata maendeleo kidogo tunayoshuhudia ni usimamizi wa moja kwa moja wa wafadhili!!!Ili kuondoa dhana hii ambayo imetawala kwa vichwa vya watz wengi kuwa CDM ni chama cha ukabila, wazo langu naomba MBOWE & SLAA wawapishe watu wengine au mmojawapo aachie ngazi na huyo atae shika nafac ya aliyejiengua km SLAA au MBOWE asiwe MCHANGA, kidogo watz wanaweza kuwaelewa nini mnafanya
Unahangaika kumjibu mtu aliekuja na stori kutoka kwenye gazeti la kufungia vitumbua? Kwani mchaga sio mtu? Jana tu rafikiangu kafunga ndoa na bint mrembo wa kichaga nailehali yeye nimsukuma alizaliwaga shanga mwalugesha
Hivi kuna vyombo vya habari ambavyo bado vina muhoji na kuchukua habari za Mtikila na Kuziandika Magazetini? duh hii Nchi Bwana...Hivi wame muuliza kama zile hela alizokopa kwa Manji alisha zirudisha!
acha majungu wewe. Kaoneshe demokrasia yako kwenye poll hapo juu ili kumpa nguvu huyo msaliti.
Kura ziko wazi sahihi, kosa au huna uhakika. Mengine majungu tu...
Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,
Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,
Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,
Mchungaji Christopher MTIKILA azidi kupiga msumali wa MOTO katika JENEZA la Chadema mashumbulizi yake yamuelekea Edwin MTEI
"Amemtuhumu mmoja wa wanzilishi na m/kiti wa kwanza wa chadema Edwin MTEI, akidai kuwa ni muasisi wa dhana ya UKABILA na UKANDA katika chama hicho huku m/kiti wa sasa Freeman MBOWE na Katibu wake SLAA wakidaiwa kuboresha mfumo huo KISASA zaidi kwa kuweka NAKSH NAKSH"
Hata kinacho wafukuza Zitto na wenzake ktk Chadema ni matokeo ya kuota mizizi kwa mfumo wa UKABILA na UKANDA ambao hauruhusu mwanachama yoyote kuhoji mapato na matumizi ndai ya chama"
WATANZANIA waelewe Chadema si chama cha siasa na VIONGOZI wake si wanasiasa wa kweli, kwani hawana MAONO wala MALENGO ya kuwakomboa watanzania
KWA UJUMLA NI GENGE LA WALAJI TU!!!
Ndani ya chadema kuna kundi linaitwa "BIG EIGHT " ambalo linaudwa na wazee wa KICHAGA na kiongozi wao mkuu ni Edwin MTEI akisaidiwa na akina Mariale na Ndessamburo,
Hawa ndio wenye chadema yao ambapo moja ya MAJUKUMU yao ni kulinda maslahi ya kichaga ndani ya chama,Kuna Chadema mbili kuna chadema ya CHUMBANI na Chadema ya SEBULENI"
Source gazeti la Umma Tanzania 4/12/2013
Chama chake cha DP ni kama upatu wa yeye na mkewe,
Tangu wasajiliwe hawajawahi kufanya uchaguzi, mtikila ni mwenyekiti wa maisha wa DP,
Mtikila nihuni na ni tapeli wa kimataifa aliyejificha kwenye mgongo wa siasa nchini,