KING COBRA
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 2,782
- 864
Mchungaji Christopher Mtikila amesema kwamba Rais Jakaya Kikwete ni nduma kuwili!!
Amesema tamko alilotoa jana kuwa Serikali haihusiki na mahakama ya kadhi , alishatoa tamko hilo Mwaka Juzi kwenye Msikiti wa Gadafi Dodoma.
Amesema baada ya kutoa tamko hilo Dodoma tumeshuhudia jitihada za Kikwete kutenga fedha kushawishi wanasiasa wakati wa Bunge la Katiba na kuwaandaa Mawaziri watakao saidia hilo .Hadi sasa ameshawishi Mswada ukaingia Bungeni
licha ya Jukwaa la Wakrito kutoa tamko la Kupinga.
Amesema ni jambo la ajabu Kikwete kutoa tamko hilo wakati Kesi ya msingi ipo Mahakani , jambo ambalo yeye anakwepa hukumu
Pia amesema inashangaza Bunge limepeleka Mswaada huo Bungeni na Leo Jumapili kuna semina Ukumbi wa Pius Msekwa harafu Kikwete amesha Pinga wakati Mswaada huo unatakiwa uletwe kwake uli ausaini uwe Sharia.
Mtikila amewashauri Waislam nao wajitokeze Kujisajiri kwenye daftari la kupiga kura na mda ukifika wapigie kura ya HAPANA kwa kuwa wamedanganywa na Kikwete.
source :Mtikila
Amesema tamko alilotoa jana kuwa Serikali haihusiki na mahakama ya kadhi , alishatoa tamko hilo Mwaka Juzi kwenye Msikiti wa Gadafi Dodoma.
Amesema baada ya kutoa tamko hilo Dodoma tumeshuhudia jitihada za Kikwete kutenga fedha kushawishi wanasiasa wakati wa Bunge la Katiba na kuwaandaa Mawaziri watakao saidia hilo .Hadi sasa ameshawishi Mswada ukaingia Bungeni
licha ya Jukwaa la Wakrito kutoa tamko la Kupinga.
Amesema ni jambo la ajabu Kikwete kutoa tamko hilo wakati Kesi ya msingi ipo Mahakani , jambo ambalo yeye anakwepa hukumu
Pia amesema inashangaza Bunge limepeleka Mswaada huo Bungeni na Leo Jumapili kuna semina Ukumbi wa Pius Msekwa harafu Kikwete amesha Pinga wakati Mswaada huo unatakiwa uletwe kwake uli ausaini uwe Sharia.
Mtikila amewashauri Waislam nao wajitokeze Kujisajiri kwenye daftari la kupiga kura na mda ukifika wapigie kura ya HAPANA kwa kuwa wamedanganywa na Kikwete.
source :Mtikila