Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

FB_IMG_1498230590944.jpg
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja, chunguza wauza kahawa wengi wanajiita waha, sio kabisa hata lafudhi inaonyesha, time will tell.

Mambo mengine bwana!! Hivi unaweza kutofautisha lafudhi ya Kiha na Kirundi? mmesahau kwamba wakati wa utawala la Kijerumani Rwanda na Burundi zilikuwa ni part ya Tanganyika, kumbuka kabla ya Wazungu kuigawa Afrika virakaviraka hapa kuwepo mipaka,watu walikuwa wanatembeleana bila ya kikwazo chochote, Mkoa wa Kagera kwa mfano wenyeji wa huko wana ndugu na jamaa huko Rwanda, Uganda mpaka Burundi chunguza majina ya Rwanda na Uganda utayakuta yapo Mkoani Kagera vile vile, tukienda Kusini mwa Tanzania mambo ni yale yale - mfano Chief wa Kabila linalo patikana Mkoa wa Mbeya pale Tunduma ndilo Kabila hilo hilo upande wa Nakonde Zambia na Chief wao yupo upande wa Tanzania.
 
Ndiyo haya nawambia watanzania,kwanza wewe inaonekana ni murundi,mnyarwanda au mcongomani mwenye siasa kali dhidi ya watusi,hawa watu wataleta matatizo makubwa kwa tanzania na rwanda,kwani tulikua majirani wema kabisa,haya ya mtikila imeisha bainika kwamba hiyo article siyo yake niya muhutu mmoja mwenye siasa kali dhidi ya watusi,yeye mtikila alitumiwa na nahuyo muhutu,kwani mtikila mke wake ni muhutu wa burundi wote ni mamoja,sasa kwa sababu ya uloda anaopata toka kwa mkewake mtikila kaamua kua adui ya watusi,ni ajabu mchungaji mzima kuunga mkono unyanyasaji wa mwanadamu eti kisa amezaliwa mtusi,kwahilo mungu atamuuliza,kuhusu watanzania kushika madaraka rwanda,rwanda kuna wakenya,watanzania,waganda wenyenyazifa katika serikali na mashirika yake,huku niujuzi unao thaminiwa sio uraia,kama mtu anaweza kuleta change anapewa kazi,waulize walio fika rwanda watakueleza,muache kukaa jamvini na kuzusha mambo ya uchonganishi tu kisa humtaki mtusi,pole sana utakufa kwa shinikizo la damu ndugu yangu usipo punguza hasira.
 
Ha
Mtikila amesambaza Waraka unaomtuhumu Kagame Kusambaza Wanyaranda 35,000 katika Tz na ameitaka serikali kuchukua hatua!!!
Ni jambo la Kushangaza Gvt inatumia Nguvu nyingi kulinda mpaka wa Malawi na Tanzania lakini Wamemwacha Kagame na Mseveni wakipenyeza Wanyarwanda 35,000 na wamehesabiwa katika sensa huku wakiendelea kuwatesa Raia!

Ni Ujinga mkubwa kuona kwamba Wanyarwanda wengi wameshaghushi Vyeti vya uraia na wengine wameanzisha makanisa kama alivyo Askofu Mulileghe Mkombo Kutoka DRC lakini Serikali badala ya kushughulika na Watu hao , inageuka na kuwatesa viongozi wa dini wanao pinga ufisadi ndani CCM na kuwakumbatia watu kama Mkombo ati kwa sababu anaombea viongozi wa Kitaifa!!!

Suala la kujiuliza ni Watanzania wangapi wanaweza kwenda Rwanda na kushika madaraka ra Serikali ya Rwanda na kuingiza mifugo huku wakitukana serikali ya Kagame???
Kama Wahutu wenye uraia wa Rwanda wamenyongwa kwa kuanzisha vyama vya upinzani sembuse Watanzania kuishi Rwanda???
Serikali itazame jambo hili kwa makini ikifikia Kagame na Joyce Banda wakaungana tunaweza kupata matatizo Makubwa!!!
Soma Waraka Wake Hapa:
Hapa ndipo pa kuanzia Sasa
 
kagame ni hatari sana anataka aedhi yetu maana sheria za umiliki ardhi hasa vijijini ni mbovu sana na kwenye uraia tumegeza sana kitu ambacho ni hatari kwa usalama wa nchi
 
Back
Top Bottom