Mtikila: Kagame amepenyeza Wanyarwanda 35,000 Tanzania, Burigi, katika Wilaya ya Muleba

Taarifa ya siri ya TUTSI EMPIRE 1999 ningependa kuwakumbusha mpango huu ingawa najua wakongwe wa humu ndani mnaujua vizuri ni moja ya mambo muhimu yaliyowahi kufatiliwa siku za hapo nyuma na wana usalama na ikagundulika mpango dhalimu wa watu hawa dhidhi ya eneo la Africa mashariki. Mpango huu uliandaliwa kwa weredi mkubwa sana kuhakikisha watu kutoka jamii ya watusi wana pandikizwa katika maeneo yote muhimu ya serikali za nchi za maziwa makuu ikiwemo Tanzania. Iikuwa vigumu sana kugundua nani ni mtanzania na nani ni mtusi nazani mnaweza kukumbuka mfanyakazi mmoja wa ikulu alikuwa raia wa Rwanda. Kutokana na taarifa hizo kuna uwezekano kuwa jamii hii ya TUTSI imefanikiwa kudukua mambo ya siri ya taifa hili na kujua kucheza na mifumo ya kiungozi pamoja na vyama vya siasa apa ni wote chama tawala na vyama vya upinzani.

Moja kati ya siri za hawa jamaa ni nini

i) Kuhakikisha wana itawala east Africa kwa namna yoyote

Hapa ni kupata political and security influence ya nchi zote za maziwa makuu. Mpango huu umefanikiwa kwa kiwango kwakua serikali za Africa mashariki zimeanza kuwapa nafasi watu hawa katika Nyanja mbalimbali. Pia wamekua wana ushawishi na serikali zilizopo madarakani, kuhakikisha wanaeneza propaganda zao. Na kwa hili apa nchini wamefanikiwa kabisa.

ii) Kuhakikisha wanaweka watu wao katika ngazi za juu za kiutawala-hili limefanikiwa kwa kiwango kikubwa tangu serikali ya awamu ya 3,4 na sasa 5. Na ni mwendelezo wa mpango namba moja.

iii) Kuingiza watu wao katika majeshi na vikosi vya ulinzi na usalama

Hapa wamefanikiwa sana. Kwa siku za hapo nyuma jamii hii ilifanikiwa kuingiza watu wao wengi kwenye vyombo vya usalama kutokana na weakness zilizokuwepo kwa wakati huo. Wametumia mbinu za kawaida yaani uongo karibia na ukweli na wamefanikiwa sana, Kwa nini nasema sana, jamii hii hauwezi kuikuta ikijiita watusi hapana, bali wanajiita waha au wahaya na sasahivi wamefanikiwa kuingiliana na wasukuma na kujita wasukuma hasa mtu akikwambia anatoka karagwe, Kagera, sengerema, ngara, Kigoma, kahama ama Shinyanga. Wamefanikiwa kuwa promote watu wao hasa kipindi cha serikali ya awamu ya 4 hapo kulikua hakuna vetting ya kutosha watu walifanya kazi ki holela hasa kwa kuangalia tribalism na religions. Idara za usalama, majeshi hazikuwa makini ku dhibiti uingiaji wa vijana wapya ama kuwa promote maafsa kwa kuwapa vyeo. Walifanikiwa hata kujiingiza kwenye dini Fulani ili wapate influence na kukubalika na viongozi waliopo madarakani. Hilo lilikua kosa kubwa tena sana kwa usalama wa nchi yetu.


Changamoto kubwa iliyokuwa inavikabili vyombo vya usalama ilikuwa ni

Kutokuwagundua wahusika wa TUTSI empire

Hii ilitokana na ukweli kwamba kati ya jamii zenye uwezo wa ku copy na kufata matakwa ya majeshi duniani kote TUTSI ni mojawapo, wameweza kupika watu wanaofanana haswaa na maadili ya jeshi letu ni watii na wanamaadili ya kijeshi. Ila kuna njia fupi za kuwagundua hawa jamaa

1. Wakimya sana/Huwa sio waongeaji-kitabia ni watu wakimya, wapole, wavumilivu na wanyenye kevu, kutokana na tabia hizi zinawafanya wapate promotion sana wakiwa maeneo yao ya kazi.

2. Wengi ni YES SIR, kwaio huweza kuapata siri za juu kabisa za vyobo vya usalama hasa ukizingatia desturi ya jeshi inapenda watu wakimya watunza siri na wapole na askari wanaotii mambo bila maswali, hii imewafanya waweze kufanikisha shughuli za ujasusi hapa nchini

Kutokana na jinsi walivojiwekani vigumu kuwagundua . Mpango huu mkubwa umefanikiwa sana kwa sasa ni vigumu kugundua kua afisa Fulani ni pandikizi la kitusi labda kama wana usalama watafatiilia mkazo jambo hili. Pia kutokana na namna wanavoshirikishwa na kuaminika na serikali hii itakua vigumu wakuu wa usalama wanaotoka katika jamii hii kuwagundua.
Maoni na ushauri

Kuchunguzwa na adui ni sawa na kulala mlango wazi wakati unajiona umefunga hii ni hatari sana kwa maswala ulinzi na usalama hapa nchini

Vyombo vya usalama hasa wazee wa ushushushu wafanye kazi yao haraka sana na kuhakikisha wana wabaini mapandikizi wa tutsi empire na kufatilia siri zao, itahitaji maofisa wenye akili sana kwa sababu moja kati ya mambo wanayozingatia watu haw ni kuwa attention muda wote kwaio sio rahisi kuvujisha siri lakini kwa weredi wa maofisa wa usalama wanaweza kuwagundua ma spy hao. Operation maalumu kuwachunguza maofisa wa usalama kuanzia ngazi za juu.

Kuepuka wataalamu wa teknologia kutoka jamii hii-

Hapo nyuma nilisikia mkuu wa nchi akieleza kuridhika kwa maenendeleo ya sayansi na technologia ya nchi ya TUTSI na kutoa kauli kua ni vema akatumia wataalamu wa technologia kutoka nchi hiyo. Kwa upande wangu hapa watakuwa wamefanikiwa kwa asilimia mia moja kwa sababu zifuatazo.

1. Watavujisha taarifa zote nyeti za nchi kumbuka nchi ina mambo ya siri na si veme majirani kujua mana zinaweza kutumika kuharibu usalama wa nchi.

2. Wata wezesha hacking ya aina yoyote, hii inaweza ikawa kwa mifumo ya kompyuta inayofanya kazi maeneo nyeti ya nchi hasa ikulu, BOT, TRA na makao makuu ya jeshi. Distabunce hizi zitasababisha hasara ama risk kwenye national security hili halipaswi kubezwa sababu kwa sasa kila system ya nchi ni computerized.

Angalizo

Ni vema serikali isisahau mipango hii ya TUTSI empire mana inaweza kuwa hatari kwa nchi

Ni vema mkuu wa nchi akarudi nyuma kidogo kuangalia who is the common enemy katika nchi yetu hapa tunaweza kujifunza jinsi ya kujilinda

Ni bora kutumia wataalamu wa teknologia kutoka korea, china ana nchi nyingine duniani lakini sio RWANDA kwa kua kihistoria na mipango ya TUTSI empire inatimizwa na sio propaganda
asanteni wakuu
nakaribisha michango
maoni
asante


Kwenda zako you white helicopter, tin foil cap conspiracy theorist. Nyinyi ndiyo interahamwe haswa.
 
Ngungenge. Mimi ni Mtanzania Mzalendo mwenye asili ya inchi za Tutsiserikali, yetu hawapo makini na hili litatugharimu huko mbeleni.
Huku mitaani kuna RAIA wengi wa inchi za Rwanda na Burundi wanajiita ni wahangaza na waha Lakini ni wahamiaji haramu.
Wana vitambulisho kwa KIBAHA MJINI NAFAHAMU FAMILIA 13 NA NINA UHAKIKA SIO WATANZANIA NI WARUNDI NA RWANDA Hata Ngara wanakodai ni kwao hawapafahamu ila wana orodha ya vijiji vyote Serikali ifanye tathimin ikisaidiana na watanzania wazalendo wa maeneo ya mipakani.
Kilicho wakuta Kongo tusisahau
kama wanaona comment yako nadhani watafanyia kazi, raia wa kigeni na mapindikizi haya ni hatari kwa usalama wa taifa
 
Read the entire stuff. It's full of personal sentiments and speculations. Nothing material or significant. Credibility (1%-9%).
 
,,,bahima empire wamefanikiwa sana hasa maziwa makuu,kwa mfano asili ya RPF ya rwanda ni uganda ambako kamanda mkuu wa RPF na naibu wake walitokea jeshi la museveni uganda,baada ya kumsimika museveni uganda wakaingia RWANDA ambapo kamanda wao mkuu aliuwawa mapema na nafasi yake kutwaliwa na kagame aliyekuwa naibu wa RPF,baada ya kuitwaa RWANDA haoo wakaingia DRC wakati huo zaire ya mobutu wakiitwa banyamulenge,walipompindua mobutu wakaingiza watu wao katika serekali ya kabila,mfano waziri wa mambo ya kigeni wa DRC aliyeitwa BIZIMA KARAHA ambaye alikuja gundulika kuwa ni mtusi na jina lake halisi ni BIZIMANA KARAHAMUHETO,,,,,
 
huwa nacheka sana nikisikia "usalama wa taifa" hawa ni mabashite tu wamewekana kwa misingi ya upendeleo wa vyama, kabila na dini ama mfanano wa hivyo.

kutegemea wataleta jipya kwenye uchunguzi ama ufatiliaji wa hao tutsi (na mambo ya maana ) ni kupoteza muda tu.
 
Huku kunduchi, tegeta na pembezoni mwa dar wamejazana warundi na ukiwauliza wanakuambia wao ni waha!
Hili halihitaji nguvu kuligundua. Wanyasa nao wapo katikati ya dar hasa masaki na msasani na hata mikocheni na mbezi beach.
Hivi hawa uhamiaji na polisi wetu wamesahau yale ya wasomali kule kenya? Au mpaka litokee tukio ndio waanze kuhangaika?
Kukinga ni bora kuliko kuponya!
 
Lisemwalo lipo kama halipo laja, chunguza wauza kahawa wengi wanajiita waha, sio kabisa hata lafudhi inaonyesha, time will tell.
 
Wanao jiita Waha Wengi wao no Wahutu, na wengi wao walikua wakimbizi hivyo awakuta kurudi Burundi baada ya Vita.......
 
,,,bahima empire wamefanikiwa sana hasa maziwa makuu,kwa mfano asili ya RPF ya rwanda ni uganda ambako kamanda mkuu wa RPF na naibu wake walitokea jeshi la museveni uganda,baada ya kumsimika museveni uganda wakaingia RWANDA ambapo kamanda wao mkuu aliuwawa mapema na nafasi yake kutwaliwa na kagame aliyekuwa naibu wa RPF,baada ya kuitwaa RWANDA haoo wakaingia DRC wakati huo zaire ya mobutu wakiitwa banyamulenge,walipompindua mobutu wakaingiza watu wao katika serekali ya kabila,mfano waziri wa mambo ya kigeni wa DRC aliyeitwa BIZIMA KARAHA ambaye alikuja gundulika kuwa ni mtusi na jina lake halisi ni BIZIMANA KARAHAMUHETO,,,,,
ni sahihi kabisa mkuu wangu
 
mkuu impongo kwaio tumekubali kuwa chini ya awa jamaa. sovereignty yetu iko wapi mkuu dola la Tanzania ni kubwa kuliko hawa jamaa

Jibu lako jepesi sana, unazungumzia ukubwa wa eneo kwa maana ya jiographia ama nini. Israel ni nchi ndogo lakini ona inavyowapa shughuli majirani zake wa kiarabu. Tafakari hii mada sio ya majibu hayo.
 
Kwahiyo unataka kusema watu wa kanda ya ziwa wasipewe nafasi serikalini kisa hiyo 'Tutsi Empire"?
Huyu jamaa hajielewi....anachofanya ni kupandikiza chuki tu ionekane watu wa kanda ya ziwa hawafai yani katafuta namna kachomeka na wasukuma ili lengo lake litimie....eti Tutsi empire...mambo ya zama zile za Before Christ anayaleta leo....

Hizi akili za kitoto kabisa....kwani watutsi hawafai kuolewa na watabzania?. Kwa taarifa yako adui yetu watanzania sio mtutsi bali ni watanzania wenyewe. Najua lengo la uzi huu ni mwisho wa siku kumhusisha Rais wetu....ila kama style ya uongozi wa tutsi ni sawa na ya Magufuli basi na waje watuongoze kuanzia kitongoji maana ni watu wa kazi.

Halafu hili suala la kuwahusisha watu wa kanda ya ziwa na kutaka kuwafanya sio watanzania halisi kwani mtanzania halisi ni nani hasa? Asiyezaliwa Kigoma? Kagera? Mwanza? Geita? Shinyanga? au ni yule aliyezaliwa Mtwara? Arusha? Kilimamjaro? Mara? Songwe? Mbeya?.

Mtanzania halisi ni yupi hasa? Aliye na pua ndefu au fupi? Mrefu au mfupi? Mweupe au mweusi? Mwenye akili nyingi au mjinga? Muungwana au asiyemuungwana? Mpole au mkorofi? Mla rushwa/fisadi au mzalendo? Mvujisha siri za nchi au msiri? Anayeunga mkono acacia au juhudi za serikali kudai kunufaika na rasilimali za nchi?

Bado nauliza mtanzania halisi na asiyehalisi ni yupi? Yule aliyezaliwa katikati ya nchi kama Singida na Dodoma?

Haya mambo ya ubaguzi sijui watutsi wanajiita wahaya au wahaya ni ubaguzi wa hali ya juu sana....ni kutaka kufanya segment flani ya jamii ionekane haifai.....yaani ni "character assasination"

Nimalizie kwa kusema adui wa taifa letu ni mtu yoyote yule anaweza akawa wa ndani au nje....aidha watu wenye asili ya kitutsi kuwepo nchini sio dhambi kwani nchi yetu inaomuingiliano na nchi jirani kwa miongo na karne nyingi so huwezi leo kuondoa hilo. Wamasai wapo Tanzania na pia wapo Kenya..n.k

Jambo kubwa ni kama nchi kuweka kipaumbele katika vitambulisho vya taifa na kuhakikisha hio process inafanyika kwa umakini mkubwa.
 
Uzi huu hauna maana yoyote kwa karne hii
Urimwengu wa sasa unaweza kumtawala mwanadam popote ulipo duniani Muhimu ni kitu gani unahitaji kutoka jamii unayohitaji kutawala
Mfano mfalme wa JF anawatawala vilivyo wafasi wake
Mfalme wa FB mfalme wa Google mfalme wa ATM hawa ni aina mpya ya watawala hapa ulimwenguni-
Utawala wa aina iliotajwa ktk Uzi huu ni utawala wa kimamlaka ambao hauna madhara yoyote kwa mwadam wa kizazi hiki-
Kutawaliwa na msukuma, muha, muhaya, na mkwere hizi ni enzi ambazo tunaelekea kuzipeleka kuzimu ndio maana Barack Obama na asili yake ya Kenya aliwatawala wamarekani nao hawakujali sababu walifaham aina ya utawala waliohitaji Leo Trump ni MJERUMAN na anaitawala Amerika hakuna kelele pia ndani ya bunge la American kuna wabunge wengi kutoka mataifa mbalimbali kama bint kutoka Somalia yupo ndani ya Bunge la seneti
Waafrika tunahitaji kiongozi atakae Linda maslahi ya Taifa sio maslahi ya familia yake na rafiki zake
Aina ya viongozi kama kina Kwame Nkrumah, kina Odinga Odinga, hatuhitaji kabila lake ili atutawale haijarishi hata kama ana rangi ya Kijani sisi kama atarinda maslahi yetu na kizazi chetu huyo ni kiongozi bora kwetu.
 
Uzi huu hauna maana yoyote kwa karne hii
Urimwengu wa sasa unaweza kumtawala mwanadam popote ulipo duniani Muhimu ni kitu gani unahitaji kutoka jamii unayohitaji kutawala
Mfano mfalme wa JF anawatawala vilivyo wafasi wake
Mfalme wa FB mfalme wa Google mfalme wa ATM hawa ni aina mpya ya watawala hapa ulimwenguni-
Utawala wa aina iliotajwa ktk Uzi huu ni utawala wa kimamlaka ambao hauna madhara yoyote kwa mwadam wa kizazi hiki-
Kutawaliwa na msukuma, muha, muhaya, na mkwere hizi ni enzi ambazo tunaelekea kuzipeleka kuzimu ndio maana Barack Obama na asili yake ya Kenya aliwatawala wamarekani nao hawakujali sababu walifaham aina ya utawala waliohitaji Leo Trump ni MJERUMAN na anaitawala Amerika hakuna kelele pia ndani ya bunge la American kuna wabunge wengi kutoka mataifa mbalimbali kama bint kutoka Somalia yupo ndani ya Bunge la seneti
Waafrika tunahitaji kiongozi atakae Linda maslahi ya Taifa sio maslahi ya familia yake na rafiki zake
Aina ya viongozi kama kina Kwame Nkrumah, kina Odinga Odinga, hatuhitaji kabila lake ili atutawale haijarishi hata kama ana rangi ya Kijani sisi kama atarinda maslahi yetu na kizazi chetu huyo ni kiongozi bora kwetu.
Well said....
 
Back
Top Bottom