U might be right.., but i hav a strong feeling, of all allegations, a thing or two could be true, sasa kwa mustakabali huu,, ishu hata moja tu alizoelezea rev. ikiwa ni kweli, usalama wa nchi upo shakani...,Credibility ya chris in question.
Credibility ya chris in question.
Naona imekolezwa chuki tu dhidi ya Watutsi japo ni kweli wapo nchini wengine ni due to circumstances tu sio kupandikizwa
Duuu hatari sana hawa watu wamemiliki mapori yetu yoote huko Kigoma na Kagera aibu!
kama huelewi usibishe, wapo sua wengi sana wakidai ni watu wa kigoma! na wengine walishateuliwa kuwa hata makatibu wakuu na wakurugenzi katika wizara mbalimbali. Daima Mungu yupo upande wetu na tutashinda! chamsingi tuendelee kuwa wamoja na kuimarrisha zaidi uzalendo wetu. Kagame ni adui namba moja wa bara la afrika ipo siku tutamsambaratisha.