Kilemakyaaro
JF-Expert Member
- Jul 19, 2016
- 5,050
- 5,078
Fikiria ujinga tu na uchama wako
Kikwete ni dhaifu mno, TISS wamekuwa kitendo cha upelelezi chini ya CCM, kupeleleza upinzani. Polisi wanaitumikia CCM kazi yao kubwa ni kudhibiti upinzani. Na msishangae kusikia kuwa kutakujakuwa na nchi inayoitwa CCM baada ya miaka ijao. Who cares about Tanganyika au Tanzania. Wakubwa wa Jeshi wanasubiria kupewa ukuu wa Mikoa na wilaya ndio imekuwa kazi yao siku hizi. Tanzania amekufanayo JK Nyerere