Taarifa kutoka nairobi kenya zinaeleza kuwa nkutano wa siasa uliohusisha wenyeviti na makatibu wa vyama afrika mashariki umeisha huku mtikila akichafua hali ya hewa.
Mtikila(0713 435016) alipinga east afrikani federation kwa sababu zifuatazo
1. Umoja huo si kwa maslahi ya wananchi bali viongozi pekee yao
2. Hakuna demokrasia katika chaguzi kwani ccm ya tanzania ndiyo imekuwa ikifundisha wizi wa kura ,katika chaguzi za kenya, zimbabwe,uganda,malawi,n.k
3. Wakenya wanataka muungano huo kwa kuwa wanataka ardhi ya watanzania na si muungano
4 .museveni ni rais dikiteta ambaye hataki upinzani hivyo hatuwezi kuungana na wauaji
5. Rwanda ni wauaji na wamemwaga damu hivyo ni hatari.
6. Serikali ya kenya wanaua wapinzani na mtu yoyote akitaka kuipinga serikali anauawa.
7. Ccm tanzania ina lindwa na vyombo vya dola na kuchakachua matokeo kuwalinda wagombea wa ccm
8. Tume ya uchaguzi tanzania haiko huru kwa kuwa wakuu wa wilaya, wakurungezi , wakuu wa mikoa wanahujumu upinzani
Mtikila(0713 435016) alipinga east afrikani federation kwa sababu zifuatazo
1. Umoja huo si kwa maslahi ya wananchi bali viongozi pekee yao
2. Hakuna demokrasia katika chaguzi kwani ccm ya tanzania ndiyo imekuwa ikifundisha wizi wa kura ,katika chaguzi za kenya, zimbabwe,uganda,malawi,n.k
3. Wakenya wanataka muungano huo kwa kuwa wanataka ardhi ya watanzania na si muungano
4 .museveni ni rais dikiteta ambaye hataki upinzani hivyo hatuwezi kuungana na wauaji
5. Rwanda ni wauaji na wamemwaga damu hivyo ni hatari.
6. Serikali ya kenya wanaua wapinzani na mtu yoyote akitaka kuipinga serikali anauawa.
7. Ccm tanzania ina lindwa na vyombo vya dola na kuchakachua matokeo kuwalinda wagombea wa ccm
8. Tume ya uchaguzi tanzania haiko huru kwa kuwa wakuu wa wilaya, wakurungezi , wakuu wa mikoa wanahujumu upinzani