You got it right,kwa kuongezea Bora kumlipa mtikila kuliko wabunge wanaokaa kimya na kubebisiti Chama na si nchi.................Kama Mtikila analipwa kutetea Katiba yetu na anashinda, kwanini basi tuwalipe wanaovunja Katiba yetu na kuwalinda? Kama mtu anatumia kipaji chake na kulipwa pesa tatizo ni nini, Tanzania ni nchi ya kibepari, hapendwi mtu isipokuwa pochi tu! Tukipata kina mtikila kumi watakaoichachafya serikali ni bora kuliko kina nanii ishirini wanaolipwa mabilioni kudhoofisha katiba yetu!!
Hayo ya sirini hata yeye Masatu hawezi kuleta ushahidi ni mzushi tu huyu . Lakini ni sawa pia Masatu ana haki ya kutompenda lakini si kuleta uongo na uchochezi , na fitina za ajabu . Kama ana ushahidi wa Usanii ama utapeli weka hapa tujadili . Maana daina tunajadili hapa kila kitu kwa uwazi .
....Kama Masatu alisoma vizuri post ya Mbowe, aliandika bayana katika post yake ya kwanza kwamba hatakuwa mchangiaji wa mara kwa mara ama hata kujibu hoja kwa hoja. Suala si shule tu, ni zaidi ya hapo. Mwenyekiti wa Taifa wa chama na aliyekuwa mgombea urais hawezi kuwa mchangiaji wa JF wa kila wakati hata kama ana muda. Ndio maana ya kujiandaa na u-stateman!.....
JJ