Civil case no 69/2011 Mtikila vs Getrude Rwakatare imefunguliwa mahakama kuu.
Mtikila anadai amechafuliwa na Rwakatare kupitia gazeti la majira na anataka fidia ya 3bils.
Kesi hiyo imetajwa juzi na ipo kwa Jaji Dr. Fauz Twaibu Mahakama Dsm. Itatajwa tena 26/07/2011.
Mtikila anadai amechafuliwa na Rwakatare kupitia gazeti la majira na anataka fidia ya 3bils.
Kesi hiyo imetajwa juzi na ipo kwa Jaji Dr. Fauz Twaibu Mahakama Dsm. Itatajwa tena 26/07/2011.