hahahah.. ila huu umati ukijaa dukani utakua huuzi kitu. utaskia wanaambiana "duka lile mi siendagi mijanaume imejazana pale utafkiri nini."Sister zetu huwa wanapata tabu kinyama kusololoa fyade kaa izi.
@NgarenaroBoy.
Confidence za kukatiza hapa bado sinazo 😂
Itakuwa bado bikra weweConfidence za kukatiza hapa bado sinazo
Hope utakuwa vizuri kimaadili.Confidence za kukatiza hapa bado sinazo
Lazima nijikwae ila jamani kukatisha mbele za watu ni mtihani... Mie bhana hata kwa wanawake wenzangu sikatishi nitatafuta kichochoro tuConfidence za kukatiza hapa bado sinazo
Msiba wa waislamu upoje mkuuNadhani hivi imebaki sehemu chache sana! Zamani wanawake walikuwa wanaogopa hata kupishana na msafara wa msiba wa waislam! Siku hz hali ni tofauti kabisa!
Msiba wa waislamu upoje mkuu
Ipi labda???!!!Itakuwa bado bikra wewe
Kuna bikra ngapi?Ipi labda???!!!
TatuKuna bikra ngapi?
Tatu
Wote hao wajee niwape Ajira !! Wanahitaji kuelekezwa.....Sister zetu huwa wanapata tabu kinyama kusololoa fyade kaa izi.
View attachment 1214342
@NgarenaroBoy.