Mbona ilikua nyeupe2..maswal meng n ya uelewa zaid co kumeza
Ji2 lilikua halisomi,kutwa lnashind fb afu linakuja kusngzia mtian mgumu.
isee jamaa waliotunga mtihani wa kiswahl mwaka ni noma,mtihani ni mgumu haufanyiki,kiswahil kimekua kigumu zaidi ya math..jamani mmeamua kuwakomesha hawa watoto wasisome zaidi.it was not fair for them
Senetor badilisha huu mtazamo wako ya kwamba elimu ni kutesana.
Maswala ya kuteswa UDSM yasikufanye tukuone unafikiria kama wazee wanaokutesa hapo UDSM.
Vijana wasomo ni lazima tuchukue hatua za madhubuti kuikomboa elimu yetu ya kutesana.
Nchi zatu{ambazo elimu yake iko juu kuliko Tz na hiyo UDSM }wanarithishana elimu kwa upendo na si kwa ghadhabu eti wasomi wasiwe wengi wakawapiku,mawazo ya kizamani hayo,unaweza kutenga muda wa recreation na wa kusoma.
najisikia vibaya ! Mtoto wangu kalalamika sana, mie nikamponda !isee jamaa waliotunga mtihani wa kiswahl mwaka ni noma,mtihani ni mgumu haufanyiki,kiswahil kimekua kigumu zaidi ya math..jamani mmeamua kuwakomesha hawa watoto wasisome zaidi.it was not fair for them
isee jamaa waliotunga mtihani wa kiswahl mwaka ni noma,mtihani ni mgumu haufanyiki,kiswahil kimekua kigumu zaidi ya math..jamani mmeamua kuwakomesha hawa watoto wasisome zaidi.it was not fair for them
unapenda holoholo sio?
pole sana. tunapima uelewa na siyo kukariri na mazoea ya kufanya mitihani. wakati wewe unalalamika, kuna wengine watatoka na A tena zilizonona.
kama kijana wako hakujiandaa, usianze kuwalaumu NECTA
isee jamaa waliotunga mtihani wa kiswahl mwaka ni noma,mtihani ni mgumu haufanyiki,kiswahil kimekua kigumu zaidi ya math..jamani mmeamua kuwakomesha hawa watoto wasisome zaidi.it was not fair for them
Tatizo wa2 wamekariri kua kiswahili somo jepesi kumbe kila somo na uzito wake. Big up necta.
Sio kutesana, ni kulindiana heshima.
Hakuna kilichotungwa ambacho kiko nje ya mtaala wao. tusubiri matokeo. waliokuwa wanaenda shule kusoma tutawaona na waliokuwa wanaenda ili kusogeza siku tutawaona.
Usitetee ujinga ndugu
Hivi kuna shule ngumu kama ya undergraduate SUA?Senetor badilisha huu mtazamo wako ya kwamba elimu ni kutesana.
Maswala ya kuteswa UDSM yasikufanye tukuone unafikiria kama wazee wanaokutesa hapo UDSM.
Vijana wasomo ni lazima tuchukue hatua za madhubuti kuikomboa elimu yetu ya kutesana.
Nchi zatu{ambazo elimu yake iko juu kuliko Tz na hiyo UDSM }wanarithishana elimu kwa upendo na si kwa ghadhabu eti wasomi wasiwe wengi wakawapiku,mawazo ya kizamani hayo,unaweza kutenga muda wa recreation na wa kusoma.
Hivi kuna shule ngumu kama ya undergraduate SUA?
Au siku hizi za semister system mambo yamekuwa mepesi.