Mtihani wa Kidato cha 2 urudishwe,watoto wamekuwa vilaza sana

Ulimakafu

JF-Expert Member
Mar 18, 2011
28,991
10,620
Serikali ingefanya liwezekanalo kuurejesha mtihani wa kidato cha pili,maana watoto wa siku hizi wanamaliza f.4 hata kuandika insha kidogo hawawezi.Kwa kifupi wengi wanamaliza wakiwa vilaza zaidi ya vile walivoingia.Matokeo ya F.4 mwaka 2010 ni ushahidi.
 
Jana nimesoma gazeti fulani eti wameshusha wastan wa kufaulu..badala ya 31% umekuwa 25% kisa watu wengi wanashindwa kupass kwa kiwango hicho.. Hawa jamaa wanafikiria kwa .........! Haiwezekani watumie mbinu hiyo kusuluhisha. Mimi nilitegemea wangefanya jitihada wanafunzi wafaulu sasa wamepunguza kiwango cha kufaulu..hivi wanawajenga wanafunzi au wanawabomoa? :( :-x
 
  • Thanks
Reactions: bht
Tanzania zaidi ya unavyoijua........... Unapokua na viongozi vilaza wakiongozwa na Rais kilaza lazima utegemee hayooooooo @ Apollo....
 
Tanzania zaidi ya unavyoijua........... Unapokua na viongozi vilaza wakiongozwa na Rais kilaza lazima utegemee hayooooooo @ Apollo....
we acha tu ndugu yangu. Tunazidi kuteseka tu, maisha yanapanda, taaabu ndio usiseme.
 
Jana nimesoma gazeti fulani eti wameshusha wastan wa kufaulu..badala ya 31% umekuwa 25% kisa watu wengi wanashindwa kupass kwa kiwango hicho.. Hawa jamaa wanafikiria kwa .........! Haiwezekani watumie mbinu hiyo kusuluhisha. Mimi nilitegemea wangefanya jitihada wanafunzi wafaulu sasa wamepunguza kiwango cha kufaulu..hivi wanawajenga wanafunzi au wanawabomoa? <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/frown.gif" border="0" alt="" title="Frown" smilieid="256" class="inlineimg" /> :-x
<br />
<br />
Ndo akili zetu waafrika zilivyo badala yakutatua tatizo tunaongeza tatizo juu yake
 
Kwani tz bila ccm haiwezekani? 2015 tufanye aumuzi thabiti kukikomboa kizazi kijacho au ikishindikana turudi mtaani kama wenzetu Tunisia japo damu itamwagika tupate mwelekeo wa nchi yetu
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ndo akili zetu waafrika zilivyo badala yakutatua tatizo tunaongeza tatizo juu yake
shine, . :) inabidi tubadilike..tubuni njia mbadala kutatua matatizo sio kuyaongeza.
 
We unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
 
We unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Na wewe unatetea uozo!ama kweli i doubt kama wote tulio humu ni great thinkers, average ya 30 kwanza ni ndogo sana bora ipande iwe 40 kwanini ulazimishe kitu wakati kiko nje ya uwezo wako?kama shule imemshinda labda kuna kitu kingine anaweza kufanya kuliko kumpotezea muda wake shuleni,hata wastani ungeshushwa hadi 10% bado wangefeli na wangedai wastani bado mkubwa ni bora kuwa na wanafunzi 100 wenye akili kuliko kuwa na matutusa/vilaza/viazi/maboga 100000 yaliyovaa uniform ambavyo waziri anajivunia kuwa ni wanafunzi,inaboa sana mi nasema kila siku &amp;quot;MTU HAJAWAHI KUWA HATA MONITOR AKIWA PRIMARY SCHOOL KWA WATOTO WENZIE LEO ATAWEZA KUWA WAZIRI WA NCHI YENYE MAMILIONI YA WATU?&amp;quot; leadership is a talent na si wote tunaweza kuwa leaders ila kwa kuwa viongozi wachache ni wabishi na ili hali ethics za uongozi hawana wao wanakomaa hivyohivyo pia ukiuliza,eti namfahamu muache na yeye akae hapo ale kidogo,tubadilike taifa letu linapotea
 
Tanzania zaidi ya unavyoijua........... Unapokua na viongozi vilaza wakiongozwa na Rais kilaza lazima utegemee hayooooooo @ Apollo....
<br />
<br />

Sure kiongozi akiwa kipofu tunasema anaowaongoza wengine au anawapoteza?dah nchi hii upupu mtupu
 
<font size="3">daah mkuu au kwakua ushapita na ni productive...................mna wao wanaeza wakapita lakin sio productive</font>
<br />
<br />
elimu hiyo mnayoisifia imelinufaisha vip taifa?. Tanzania hii hatujawahi kuwa na Elimu bora, hata hiyo uliyosoma pia ni mbovu tu.
 
Bora umemwambia maana amezungumza pumba na mashudu tu
&Na wewe unatetea uozo!ama kweli i doubt kama wote tulio humu ni great thinkers, average ya 30 kwanza ni ndogo sana bora ipande iwe 40 kwanini ulazimishe kitu wakati kiko nje ya uwezo wako?kama shule imemshinda labda kuna kitu kingine anaweza kufanya kuliko kumpotezea muda wake shuleni,hata wastani ungeshushwa hadi 10% bado wangefeli na wangedai wastani bado mkubwa ni bora kuwa na wanafunzi 100 wenye akili kuliko kuwa na matutusa/vilaza/viazi/maboga 100000 yaliyovaa uniform ambavyo waziri anajivunia kuwa ni wanafunzi,inaboa sana mi nasema kila siku &amp;amp;quot;MTU HAJAWAHI KUWA HATA MONITOR AKIWA PRIMARY SCHOOL KWA WATOTO WENZIE LEO ATAWEZA KUWA WAZIRI WA NCHI YENYE MAMILIONI YA WATU?&amp;amp;quot; leadership is a talent na si wote tunaweza kuwa leaders ila kwa kuwa viongozi wachache ni wabishi na ili hali ethics za uongozi hawana wao wanakomaa hivyohivyo pia ukiuliza,eti namfahamu muache na yeye akae hapo ale kidogo,tubadilike taifa letu linapotea
 
Sarlimu, sasa ndugu yangu hii comment ndio umetumia akili yako ya kuzaliwa au kuna mtu pembeni alikuambia upost hivi?
We unataka wa feli form2 ili waende wapi?. Mazingira mabovu. Waacheni watoto wasome kwa starehe bana.
kwa hiyo unaona bora wanafunzi na sio wanafunzi bora? Tunajenga tunabomoa?
 
Jana nimesoma gazeti fulani eti wameshusha wastan wa kufaulu..badala ya 31% umekuwa 25% kisa watu wengi wanashindwa kupass kwa kiwango hicho.. Hawa jamaa wanafikiria kwa .........! Haiwezekani watumie mbinu hiyo kusuluhisha. Mimi nilitegemea wangefanya jitihada wanafunzi wafaulu sasa wamepunguza kiwango cha kufaulu..hivi wanawajenga wanafunzi au wanawabomoa? :( :-x
Tutakuwa tunataniana, 25%?
 
Back
Top Bottom