kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
jamani mnisaidie hapa hivi watoto wanapopewa mtihani wa hisabati wa majibu ya kuchagua wanapima nini?,wadau wa elimu tuna domain 3 na vipengele vya katika table of specification,hawa wamewapima nini?,jamani siasa mpaka elimu?,kunasiku zitaingia kwenye afya.