Mtihani wa hisabati la saba wa kuchagua

kimboka one

JF-Expert Member
Jan 23, 2010
734
85
jamani mnisaidie hapa hivi watoto wanapopewa mtihani wa hisabati wa majibu ya kuchagua wanapima nini?,wadau wa elimu tuna domain 3 na vipengele vya katika table of specification,hawa wamewapima nini?,jamani siasa mpaka elimu?,kunasiku zitaingia kwenye afya.
 
wanatakiwa wakokotoe wenyewe mpk kieleweke kuchagua c wanaweza kuibiana
 
kwani wewe hujui serikali yetu? wanasubiri watoto wafeli form four then wapeane ulaji kwa
kuunda tume ya uchunguzi. cha ajabu wakati huohuo wanasisitiza watoto wasome sayans.
mi nasubiri watakapoanzisha multiple choice hata kwenye practicals za sayansi wanazopigia debe
kwa sasa.wao wanathubutu hawawezi lakini wanasonga mbele
 
Yani huo ni zaidi ya ujinga na uzembe wa hiyo tume ya elimu ya kizushi!!

Sijui wanategemea kufaidika vipi kwa kuwalemaza vijana ambao ndo wanaotakiwa kuendesha nchi siku zijazo!!
 
jamani mnisaidie hapa hivi watoto wanapopewa mtihani wa hisabati wa majibu ya kuchagua wanapima nini?,wadau wa elimu tuna domain 3 na vipengele vya katika table of specification,hawa wamewapima nini?,jamani siasa mpaka elimu?,kunasiku zitaingia kwenye afya.
kwani kuna tatizo gani hapo mkuu??
kwani mitiani ya zamani ilikuwaje? mitihani ya hisabati huwa wanatakiwa kuandika jibu tu, sio kuonyesha jinsi jibu lilivyopatikana kama kwenye higher levels.

Of course, siifagilii njia hiyo ya kuandika jibu tu, lakini thats just a fraction of our education system.
 
nawaambia wana jf darasa la 4 la mkoloni ni sawa na mtoto wa kidato cha 6 wa tanzania ya leo!bora watoto wetu wajiandikishe kufanya mitihani ya cambridge
 
mmh! Mi naona iko sawa tu cuz kama hajui kufanya hayo mahesabu hawezi pata jibu sahihi sema kuwe na usimamizi madhubuti kusiwe na kuegelezeana
kwa nchi kama turkey hiyo ipo hata university entrace exams zinaitwa Yoss na pia USA kuna SAT mambo ni multiple choice na kama hujui utaona nyota tu kama hiyo yoss hata form six PCM inamtoa nishai
wakuu msiwe watu wakulalamika waliofanya hivyo wanaelewa ndio maana wabongo kwenye interview za kimataifa tunashindwa cuz tunaona kusoma ni kurelease tulivyokariri hata kama ni hesabu watoto wanataka kujua formular tu bt logic hamna duh! Tubadilike so we can b great thinkers
 
kwani kuna tatizo gani hapo mkuu??<br />
kwani mitiani ya zamani ilikuwaje? mitihani ya hisabati huwa wanatakiwa kuandika jibu tu, sio kuonyesha jinsi jibu lilivyopatikana kama kwenye higher levels.<br />
<br />
Of course, siifagilii njia hiyo ya kuandika jibu tu, lakini thats just a fraction of our education system.
<br />
<br />
Mtihani wa mwaka huu wa std 7 wametaka uonyeshe njia uliotumia kupata jibu
 
jamani mnisaidie hapa hivi watoto wanapopewa mtihani wa hisabati wa majibu ya kuchagua wanapima nini?,wadau wa elimu tuna domain 3 na vipengele vya katika table of specification,hawa wamewapima nini?,jamani siasa mpaka elimu?,kunasiku zitaingia kwenye afya.

Ni maswali yote ya kuchagua au ni mchanganyiko?

Halafu si kweli kwamba maswali ya kuchagua ni rahisi ki hivyo (kama mtunzi yupo makini). Binafsi nimefanya mitihani (ya hesabu/mahesabu/numbers) yenye 'multiple choice' hata katika level za juu na kwa kweli parts za multiple choice ndio watu walikuwa wanaboronga zaidi au kutumia muda mrefu hasa kama hujui/huna uhakika na unachofanya!
 
According to NECTA, all exams are in multiple choice format to enable the use of electronic mark recognize machine. Mashine hii karatasi ya majibu inapita na yenyewe inatambua kama jibu la swali husika ni right au wrong. Hii itasaidia 1. Kupunguza upendeleo au makosa ya kiusahishaji. 2. Kupunguza muda wa kusaisha. 3. Kuokoa manpower.
 
jamani mnisaidie hapa hivi watoto wanapopewa mtihani wa hisabati wa majibu ya kuchagua wanapima nini?,wadau wa elimu tuna domain 3 na vipengele vya katika table of specification,hawa wamewapima nini?,jamani siasa mpaka elimu?,kunasiku zitaingia kwenye afya.

Kwani huduma zinazotolewa katika sekta ya afya (hospitali, vituo vya afya na zahanati) huoni kuwa ni dhihaka tosha??Duka la madawa nako unakutana na dawa feki achia mbali kuuziwa hata madawa yaliyokwisha muda wake ufaao kwa matumizi.
Eee Mungu endelea kufanya OVERTIME kuilinda Tanzania na watu wake maana serikali kama imeamua kutuacha tujihangaikie hata kwa yale ambayo tunailipa kodi kuiwezesha iyafanye kwa ajili yetu kama wananchi tuliyoiajiri itutumikie
 
Sipati picha pale mwanafunzi asiyejua kabisa hisabati kwa kupitapita huko nyuma,akafanikiwa kupata alama za juu kwenye mtihani wa mwisho kisa tu alibahatika kuchagua majibu sahihi baada ya kufanya "ana ana do" !.....Hii ndo mizigo wanayotupiwa walimu wa sekondari za kata...lol.
 
jamani nimefanya utafiti kunashule moja mwka jana imepokea watoto sita hawajui kbsa kusoma na Tsm9 imesama mtoto huyu hana uwezo wa kusoma sekondari,cha ajabu yupo darasani f1,sasa hili la hisabati ni moja ya maandalizi ya kuongeza wngn
 
Aaahaa!nilicheka sana watoto wengi wanasema mtihani wa mwaka huu ni mwepesi sana,tena kengine kakasema kwa wepesi huu hata walioko drs la5 leo wanaweza kuujibu mtihani huu....sasa kama hii ndivyo ilivyo yangu ni macho!!ila nahisi wanapunguza uwezo wa watoto baadae kufanya solving.
 
kwani kuna tatizo gani hapo mkuu??
kwani mitiani ya zamani ilikuwaje? mitihani ya hisabati huwa wanatakiwa kuandika jibu tu, sio kuonyesha jinsi jibu lilivyopatikana kama kwenye higher levels.

Of course, siifagilii njia hiyo ya kuandika jibu tu, lakini thats just a fraction of our education system.

Si bora hata kukokotoa mwenyewe,kuliko kuandika A,B,C,D daah!!
 
hio ndo elimu ya bongo bana halafu 2nalalama watoto we2 hawapend mats!? Shame..whr z foundation?
 
Jana usiku katika dkk 45 Dr. Kawambwa alikumbusha kuwa mitihani hiyo ya maswali kuchagua kwenye Hisabati ilikuwepo hata enzi zao hivyo serikali inaonesha kwenda na mifumo ya kikoloni katika Elimu ya karne 21.
 
Umesoma wapi mkuu? Nakumbuka pepa ilikuwa na column za Swali, kazi, jibu.
kwani kuna tatizo gani hapo mkuu??<br />
kwani mitiani ya zamani ilikuwaje? mitihani ya hisabati huwa wanatakiwa kuandika jibu tu, sio kuonyesha jinsi jibu lilivyopatikana kama kwenye higher levels.<br />
<br />
Of course, siifagilii njia hiyo ya kuandika jibu tu, lakini thats just a fraction of our education system.
<br />
<br />
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom