Buswelu
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 1,998
- 352
Mtihani uliko kuwa ufanyike leo asubuhi wa hesabu kidacho cha nne umefutwa nchi nzima mpaka hapo baaada...sababu zinazosemkena ni kuvuja kwa mtihani...Dar es salaam.
My Take...
Inawezekana kabisa ni kwa sababu ni maslahi madogo kwa walimu...na mgomo ambao unatakiwa ufanyike leo...
My Take...
Inawezekana kabisa ni kwa sababu ni maslahi madogo kwa walimu...na mgomo ambao unatakiwa ufanyike leo...