jrmlaurence
Member
- Dec 2, 2010
- 80
- 57
MAELEZO: UNAWEZA KUJIBU MASWALI YOTE UKITAKA, LAKINI SWALI LA KWANZA LINA MAKSI 50, SWALI LA PILI LINA MAKSI 40, MASWALI MENGINE MAKSI ZITATEGEMEA KAMA UMEPATA MANGAPI LAKINI HAZIWI CHINI YA 40.
SECTION A
1) Je, Bara la Afrika ni bara au siyo bara?
2) Je Afrika ni bara au ni nchi? Kama ni bara , Je bara hilo linaitwaje?
3) Kati ya jua na mwezi nini kinaleta joto?
SECTION B
1) Rais wa Tanzania ni Ja Kikwe. Jaza)
2). Je samaki ana weza kuendesha baiskeli? Ndio/ Hapana
3). Imba wimbo wa Taifa kimoyomoyo kama umeweza, andika Nimeweza
SECTION A
1) Je, Bara la Afrika ni bara au siyo bara?
2) Je Afrika ni bara au ni nchi? Kama ni bara , Je bara hilo linaitwaje?
3) Kati ya jua na mwezi nini kinaleta joto?
SECTION B
1) Rais wa Tanzania ni Ja Kikwe. Jaza)
2). Je samaki ana weza kuendesha baiskeli? Ndio/ Hapana
3). Imba wimbo wa Taifa kimoyomoyo kama umeweza, andika Nimeweza