mpenda kupenda
Member
- Jul 22, 2018
- 44
- 32
Wana jamii .
Naomba kuuliza .
Mtoto wangu anayefanya mtihani Leo Wa darasa la saba .
Wameambiwa katika.mtihani asije na pen .mtihani itafanywa na pencil .
Je hii nisheria ya wizara?
Kufanya mtihani kwa kalamu yenye kufutika kuna hatari hata ya kuweza kufuta jina au namba yako ya mtihani na itawekwa ya mwanafunzi mengine.
Au nisheria ya shule?
Naomba kuuliza .
Mtoto wangu anayefanya mtihani Leo Wa darasa la saba .
Wameambiwa katika.mtihani asije na pen .mtihani itafanywa na pencil .
Je hii nisheria ya wizara?
Kufanya mtihani kwa kalamu yenye kufutika kuna hatari hata ya kuweza kufuta jina au namba yako ya mtihani na itawekwa ya mwanafunzi mengine.
Au nisheria ya shule?