Khaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!
Una khatari wewe mtoto wa kike!
Huruma?
Au kuna wakati mnakuwa na njaa ya kupitiliza?
Maana yule binti sikuile ilikuwa ni balaa maana alikuwa na ham ya kupitiliza naona alishindwa kujizuia
Umenifanya nikumbuke tukio ambalo limenisababishia hisia ambazo sikutarajia kuwa nazo asubuhi hii....lol!!!![/QUOTE]
Yote yanaweza kuwa sababu,huruma,njaa ya kupitiliza,mapenzi kwa mwenza au hata hofu ya jamaa kumega nje!
Hapo kwa bold, Pole!!!! Ila natumai haitaathiri utendaji wako wa kazi.... lol
Lakini unatamani,sindio eeeeh?kwa upande wangu ni kwasbb ni dhambi.
Asingekataza je?yes Mungu amekataza
Nadhani hujui madhara wewena pia kuna madhara ndio km mimba zisotarajiwa
Misingi ipi mrembo?na kubwa zaidi unakuwa umekiuka moja ya misingi ya ndoa
Kabla sijasoma maoni ya wengine, mie nikiwa na msimamo huo kama hataki achape lapa kwani lazima????? Nishawakataa kibao tu. Ila najua walikuja kwa lengo la kupita..... Ndio maana hawarudi
Huu mtihani unawakabili Mabikra tu! Ila kama used tayari it is expected katika digitali kuwa game zitapigwa kama kawaida except maybe WHEN IS THE RIGHT TIME! Ila jibu kuwa game ndio survival ya mahusiahano unalo mkononi!
Mtihani zama hizi za DIGITALI ni wasiwasi JE MWENZA MPYA SI MTUMIAJI WA KABANG/TTIGO????????? Na unaanze kumuamini na KABANGANG yako hivi hivi kireja reja? Wengine mafirauni kweli hashindwi kujifanya kakosea njia! Nyamaaaaf!
Kipi kati ya hivi kinaweza kukufanya nikakumega kabla ya wakatiYote yanaweza kuwa sababu,huruma,njaa ya kupitiliza,mapenzi kwa mwenza au hata hofu ya jamaa kumega nje!
Haiwezi ila nimefikiria hadi imenibidi nirekebishe hii jeans yangu eneo la mbele...lol!!!Hapo kwa bold, Pole!!!! Ila natumai haitaathiri utendaji wako wa kazi.... lol
mtihani kweli huu...!
Kabla sijasoma maoni ya wengine, mie nikiwa na msimamo huo kama hataki achape lapa kwani lazima????? Nishawakataa kibao tu. Ila najua walikuja kwa lengo la kupita..... Ndio maana hawarudi
there u a mamito
mwenye nia wala hana papara mbona ila wapitaji utawajulia hapo tu
yes na imenisaidia sana
habar kw ufupi ndo hyooo..unaweza jisubirisha wee af ukapata pasua kichwa km mnavyojua good girls end up wt th bad guys..
Really?
Lakini unatamani,sindio eeeeh?
Asingekataza je?
Nadhani hujui madhara wewe
Siku hizi kuna namna ya kuzuia mimba kama hutaki
Hakuna madhara hapo
Madhara ya kunywa maji ambayo hayajachemshwa ni kupata taifodi
Niambie madhara ya kufanya mapenzi kabla ya "ndoa"
Misingi ipi mrembo?
Yes mkuu..... Wachape lapa! Et limtu linakuja kukufatilia weeeee kwa kigezo cha NDOA ukikubali tu anaanza lini sasa unanipa. Mwe kimekuwa chakula????
Mi huwa nakerekwa sana demu anavyoniambia eti nisubiri mpaka Jumatatu wakati sikuu hiyo ni Jumanne!! So I have wait a week!! Au eti nipo kwa siku zangu!! Damn
habar kw ufupi ndo hyooo..unaweza jisubirisha wee af ukapata pasua kichwa km mnavyojua good girls end up wt th bad guys..
Siku hizi wanakamchezo kao kachafu sana
Akikuambia hakupi jua kuna "-----" linakumegea kiulaiiini!
Na akikuambia yupo kwenye siku zake usiishie kukubali tu kwa kukuonesha "pedi"
Wengine wanawekaga tomato sosi ....lol!
Ha ha ha ha haaaaaaa ................Yes mkuu..... Wachape lapa! Et limtu linakuja kukufatilia weeeee kwa kigezo cha NDOA ukikubali tu anaanza lini sasa unanipa. Mwe kimekuwa chakula????
Na kama ukiolewa kisha ukatelekezwa baada ya kupata mtoto, ina maana hatateseka kwa sababu ulishafunga ndoa.....Hahahaa haaaa
Eiyer mbona Unanitega?
Yes hata mi nina hisia kwnn nisitamani!!?
isingekatazwa manaake ingekuwa halali so ningefanya tu coz ni ruksa.
mimba utaniambia kuna condom
bt kumbuka mimba zinazotolewa ni nyingi sn though kuna cdm
achilia mbali watt wanaozaliwa wanatelekezwa,bado watt wanaozaliwa b4 mtu hajaoa/kuolewa mwisho wa cku mtu anabadiri maamuzi mtt anabaki kuteseka,
Huoni madhara mpaka hapo?
kaka angu ndoa ina misingi yake
narudi kwa hili