Mimi nimeoa. Nilipo andika hujaolewa nilikusudia kweli hujaolewa sababu wenzako walio olewa hawawezi kuandika ulicho kiandika.Hongera wewe kwa kuolewa bi dada, haya tiririka.
Mimi nimeoa. Nilipo andika hujaolewa nilikusudia kweli hujaolewa sababu wenzako walio olewa hawawezi kuandika ulicho kiandika.Hongera wewe kwa kuolewa bi dada, haya tiririka.
Hongera na wewe kwa kuolewa, haya toa ushauri kwa mwanandoa mwenzioMimi nimeoa. Nilipo andika hujaolewa nilikusudia kweli hujaolewa sababu wenzako walio olewa hawawezi kuandika ulicho kiandika.
Umekosea sana kuendekeza urafiki mpaka ndani ya familia, marafiki kua nao hukoo mbali wala wasiizoee familia yakoUna Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza' na 'Kusikitisha' kabisa Wewe hapo ni nani 'utamlaumu' mno kuliko Mwingine?
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.
Siku nyingine usiwe unachangia mambo ya ndoa ikiwa hujaolewa bibie, tuachie sisi tulio oa tuchangie. Siku ukiolewa utajua kwanini wenzako walio olewa hawawezi kuandika hayo uliyo yaandika.Hongera na wewe kwa kuolewa, haya toa ushauri kwa mwanandoa mwenzio
Dada angu una gubu sana i can't imagine huyo kaka anaishije na wewe ndani, unastahili ufundwe upyaaaSiku nyingine usiwe unachangia mambo ya ndoa ikiwa hujaolewa bibie, tuachie sisi tulio oa tuchangie. Siku ukiolewa utajua kwanini wenzako walio olewa hawawezi kuandika hayo uliyo yaandika.
Ushauri wangu nilishautoa huko mwanzo bibie.
Una Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza' na 'Kusikitisha' kabisa Wewe hapo ni nani 'utamlaumu' mno kuliko Mwingine?
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.
Unapenda kujifurahisha sana mrembo. Ni ujinga ulioje kumuita mwanaume mwanamke, huku ukirudia rudia jambo ambalo halipo.Dada angu una gubu sana i can't imagine huyo kaka anaishije na wewe ndani, unastahili ufundwe upyaaa
Btw, hongera kwa kua mke muaminifu, gubu unalo ila huchepuki.
Mkui kama ni kweliii sio story basii fanya juu chinii umle mke wake na yeye hakikisha una ushahidii wa kutoshaa...Una Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza' na 'Kusikitisha' kabisa Wewe hapo ni nani 'utamlaumu' mno kuliko Mwingine?
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.
Ndio inavyokua mkiolewa bila matarajio mnakua mnatamani dunia nzima ijue umeolewa, hata mtu akicheka utasikia "hatucheki hivyo wanandoa, mwanandoa tuna cheko letu" lolUnapenda kujifurahisha sana mrembo. Ni ujinga ulioje kumuita mwanaume mwanamke, huku ukirudia rudia jambo ambalo halipo.
Karibu PM nikuonyeshe kitu. Wanaume hatubishani na watoto wa kike na ukitaka kupandwa na mimi nakupanda tu. Karibu sana mrembo.
Sawa. Nimefurahi kwa kuelewa nilicho kiandika.Ndio inavyokua mkiolewa bila matarajio mnakua mnatamani dunia nzima ijue umeolewa, hata mtu akicheka utasikia "hatucheki hivyo wanandoa, mwanandoa tuna cheko letu" lol
Haya mama, msubiri mumeo akupande uzae chap sio kushinda mitandaoni na kujitangaza umeolewa kwa kila mtu.
Gaaaa damnMuda wote unawaza kuimba mapambio ya jiwe na ccm..kwanini usigongewe?
Na wewe unamgongea mkewe, ngoma drowUna Rafiki yako wa karibu tu na anajua kuwa una Mke na pia Mkeo naye anajua kabisa kuwa huyo Jamaa ni Rafiki yako mkubwa tu, ila ikatokea Rafiki yako wa Karibu 'akakutongozea' Mkeo na Mkeo naye pia 'akamkubalia' na 'wakafanyana' kwa raha zao. Je, ikitokea ukaja 'Kugundua' tukio hilo la 'Kuumiza' na 'Kusikitisha' kabisa Wewe hapo ni nani 'utamlaumu' mno kuliko Mwingine?
Nilikuwa ni 'Muumini' mkubwa sana tu wa 'Kulaumu' wale 'Wanaowadhuru' vibaya (Kikatili) Wake zao pale 'wakiwafumania' ila sasa nimewaelewa.