Saint,,msikubali kuvalishwa majoho ya vyuo vikuu ..hii ni serikali ya ccm kila kitu shaghala baghala hadi mambo yakifika kwenye critical conditions ndio wanapanua midomo yao
mkuu REJAO kila tatizo hapa nchini huwezi kulitenganisha na sera za ccm...swallow this my friend....Saint,,<br />
Mambo ya CCM hapa yanaingiaje?<br />
Tusianze kuwachafua wanetu kwa siasa..
<br />nakumbuka enzi hzo ukimaliza unaitwa LI dah kitambo sana....................huh
Nawaonea sana huruma mnaoichukia CCM!mkuu REJAO kila tatizo hapa nchini huwezi kulitenganisha na sera za ccm...swallow this my friend....
Ok let wish them all the best ..lakini wakishaingia secondari hasa boarding wataanza kuonja machungu ya Nape i mean ccm
<br />nakumbuka enzi hzo ukimaliza unaitwa LI dah kitambo sana....................huh
<br />nakumbuka enzi hzo ukimaliza unaitwa LI dah kitambo sana....................huh
ka ulivonena mkuu................huh<br />
<br />
Ni LY mkuu! Wengine watanisaidia kirefu chake. Ila nadhani ni Last Year.