johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,870
CAG mstaafu mh Uttoh amezitaka kamati za bunge za PAC na LAAC kuwa strategic zinapoenda kukagua taasisi za serikali badala ya kujiendea tu kimazoea.
Uttoh amesema ni vema bunge likatembelea taasisi zenye hati chafu na zile ambazo CAG ameshindwa kutoa hati ( disclaimer) au zile ambazo CAG hakuzikagua kabisa.
Utaratibu wa kukimbilia taasisi zenye hati safi hauna tija kabisa, amesisitiza CAG mstaafu
Source: ITV
My take; PAC ianze na TTCL, NHIF, Muhimbili nk nk mkakague hesabu!
Ramadhan Kareem.
Uttoh amesema ni vema bunge likatembelea taasisi zenye hati chafu na zile ambazo CAG ameshindwa kutoa hati ( disclaimer) au zile ambazo CAG hakuzikagua kabisa.
Utaratibu wa kukimbilia taasisi zenye hati safi hauna tija kabisa, amesisitiza CAG mstaafu
Source: ITV
My take; PAC ianze na TTCL, NHIF, Muhimbili nk nk mkakague hesabu!
Ramadhan Kareem.