Mtibwa Sugar 0-0 Simba SC | Ligi kuu Bara| Manungu Morogoro

Pablo leo kawa mtulivu bila shaka uongozi wa Simba watakuwa wamempa somo la kupunguza kupanic
 
Kocha amesha ambiwa, akianza kupiga viti atafungwa kamba.kwasasa ameonyesha utulivu Kama yupo Madrid.

Mpira ni mapumziko na viongozi wa Simba wanajaribu kutafuta eneo lililo inuka ili wapate WIFI kwakua kocha anataka kuwasiliana na Zidane maana mechi imekuwa ngumu.
 
Back
Top Bottom