adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,950
- 23,092
Amuige FORTALEZA anatoaga full updatesESPRESSO COFFEE kama hauwezi kuleta update basi usiwe unaanzisha uzi na ndio maana Mhariri alikwambia kwanini nyuzi zako zilifutwa
Amuige FORTALEZA anatoaga full updatesESPRESSO COFFEE kama hauwezi kuleta update basi usiwe unaanzisha uzi na ndio maana Mhariri alikwambia kwanini nyuzi zako zilifutwa
Mzamiruuu off targert dk 41 mtibwa wanamiliki mpira
Leo simba anakufa moja goal la juma nyangi
Mkijitahidi saaaana droo mkimwingiza Chama na Morrison mnafungwa kabisaaa kiwanja hiki si rafiki kwao kiwanja hiki rafiki kwa wazawaMungu saidia Simba ishinde weekend ianze vizuri
Mbona sawa na ile ya Mbeya mliyogongwa!Pitch ni ya kupuuzi sijawahi ona
Tulia upakatwe match bado bado haijaishaMbona sawa na ile ya Mbeya mliyogongwa!
Analeta ila kwa kuchelewa. Update ameunganisha na post namba mojaMleta uzi ingekuwa yanga inacheza angeleta updates bila shida
Nadhan huyu n shabiki wa yanga
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Hiyo ni kwa ajili ya Simba tu, baada ya leo watarudisha GairoPitch ni ya kupuuzi sijawahi ona
Sawa endelea kuchezesha mkia wako hapo ulipo kaaTulia upakatwe match bado bado haijaisha
Wanafanya hujuma za wazi wazi kabisahiyo ni kwa ajili ya Simba tu,baada ya leo watarudisha Gairo