Elli
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 55,499
- 86,036
Mkuu ,Kisanga Dr wa Figo Muhimbili ana mtoto mkubwa hivi?Alikuwa mtoto wa Marehemu Dr Kisanga (Urologist Muhimbili)? Naona sura kama ya Kisanga mkubwa, vile!
Kwahiyo ni Dr wa PhD na wala sio by professional?Namkumbuka kipindi alipokua muhasibu pale Makumira secondary-Arusha
Pole kwa familia na jamaa wote!
Acha kunipangia how to feel mzeeNaelewa unavyoteseka kwa visa vya hawa viumbe lakini kidogo punguza speed.
Binadamu sio jiwe wengi wametoka huko CCM wakaingia vyama pinzani , sasa ukitoa dua kali kama hizi , na wakifa utapata wapi watu kutoka CCM wa kuja kukupigia kura ??
Umeambiwa ni ajali kwanini huelewi?Aliumwa nini?
Na una moyo isee! Yaani kataarifa kafupi tu haka, mtu ameshindwa kumaliza kusoma.Si umeambiwa ajali
Rudia kusomaAliumwa nini?
Ajari ni ugonjwa wa aina gani huko kwenu?Aliumwa nini?
Kwa hapo sina taarifa zaidi, ninamjua kwa wigo huo maana nilikua nae pale makumira sekondari arushaKwahiyo ni Dr wa PhD na wala sio by professional?
Napenda kuwapa pole CCM kwa kuondokewa na kada makini aliyekipenda sana chama chake.
Dr.Donald Kisanga alikuwa kada wa CCM na mtia nia wa Ubunge Moshi Vijijini
Kiongozi wa chama cha waimbaji wa injili Tanzania.
Amefariki kwa ajali ya gari huko Dodoma.View attachment 1532355View attachment 1532356View attachment 1532357View attachment 1532358View attachment 1532359
Nahisi uko nyuma haupo salama, maana sio kwa ujinga huo. Umeelezwa kwa ufupi, umejibu kwa marefu bila maana yo yote. Pole sana.Acha kunipangia how to feel mzee
Wewe ume-feel huruma kwake,rightfully so...
Na mimi sija-feel huruma yeyote kwake,rightfully so...
Punguza kupangia watu how to feel,punguza udikteta,kaa nao,I dont want ushauri wako!
Unaji ekti wewe ni universal moral giver,unaeleza how people have to feel on various things....
Fvck whatchu say,keep it for yourself....leave me be!