PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 9,072
- 29,798
Kaolewe wewe basi umsaidieHuyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Kaolewe wewe basi umsaidieHuyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Bi Hussina Amekamatwa na Watu Wanaosadikika Kuwa Ni Police, Na Yuko kituo Cha Polisi Geita.
NYUMBANI Kwake Kumejaa Polisi Njee na Ndani.
Kosa la Yeye Kushikiliwa Halijulikani.
Wachawi wanajuana...hahaaa...wewe ndoa ilikushindaa...una malinda kweli wewe
Mmeona udikteta uliokwisha anza hata kabla ya kampeni? Na ndio mambo haya yanakwenda kuwasha moto zaidi na kufanya uchaguzi uwe wa hovyo kama ulivyo wa mwaka jana serikali za mitaa.Bi Hussina Amekamatwa na Watu Wanaosadikika Kuwa Ni Police, Na Yuko kituo Cha Polisi Geita.
NYUMBANI Kwake Kumejaa Polisi Njee na Ndani.
Kosa la Yeye Kushikiliwa Halijulikani.
Zipi hizoCCM muda si mrefu Polisi watawachoka. Jana Jiwe aliwashushua kwa kufanya kazi ambazo yeye hajawatuma.
Kumlinda Mrisho Gambo dhidi ya rushwa.Zipi hizo
Wewe nae hebu pumzisha hilo jicho lako la nyuma kulitumia kuwaza.Yule mama anatafuta kick tu hana lolote anadhani atapata ubunge kwa kuropoka!
Km amevunja sheria acha atumie hewa nzito kwa wiki hivi anaweza kubadilika
Kuna jambo sijawahi kulielewa kabisa; hivi wakati matukio ya kigaidi yanaiandama dunia kulikua na haja gani yule anayelipua/kujilipua na bomu lazima awe na ndevu nyingi na kanzu au kizibao?Nafikili kichwa cha habari cha jieleza sana.
Binafsi nawaheshim sana maana ndo wenye mamlaka ya kulinda RAIA na Mali zao iwe mvua au jua.
Mada husika:
Tafadhali niwaombeni muachieni huyo mama HUSNA mwanachama wa chadema ,mnampaisha bure kisiasa bila sababu ,au kama vipi ili kutenda haki basi wakamate waliomchokoza kwa kushusha bendera zake ,maana ushahidi upo wa picha ukionesha vijana waliovalia tisheti za kijani wakiparamia bendera za chama chake.
Yatubidi kuelewa chama au dini ni imani ya mtu iwe mvua au jua huwezi huwezi mkataza mtu imani yake ,kwanza bendera ya chama kitu gani ingekua ya taifa sawa ila ya chama hata ikiwa karibu na mlango wa Magu aina shida.
Hebu vyombo vyetu jitenge na mambo ya kisiasa na eleweni Jeshi hili limekuepo hata kabla ya mwinyi,mkapa ,jk,wamelicha kama chombo huru hata Magu atalicha tu.
Narudia kuwaomba mhachieni huyo mama ,na wamama wa ccm na vyama vingine ni wakati wa kujifunza kutoka kwa huyo mama HUSNA kwamba lazima wahamini kile wanachokihamini sio kua bendera fuata upepo .
Nitangulize shukrani
Watanzania tumeshagua siyo kabisa tupinge udikteta huu.Bi Hussina Amekamatwa na Watu Wanaosadikika Kuwa Ni Police, Na Yuko kituo Cha Polisi Geita.
NYUMBANI Kwake Kumejaa Polisi Njee na Ndani. Kosa la Yeye Kushikiliwa Halijulikani.
Zaidi soma:
Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!
CHADEMA imekuwa ikimsumbua John Magufuli Jimbo la Chato Toka akiwa Mbunge
Mbona ya maza wako ilimshinda akiwa na mimbha yako?Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Ndoa imekushinda wewe na mamako baada ya kumgonga mkashindwana.Huyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Shingingi ni uchi was mamakoPolisi isihangaike na shangingi
Bora tu dingi yako angepiga nyeto ingekuwa vema zaidi kuliko ulivyo hivi sasa ni hasara tupuHuyo ndoa imemshinda ataweza wapi ubunge
Aache kick
Huyo mama alijawa muhemuko as if ana kikundi cha waharifu. WamchunguzeBi Hussina Amekamatwa na Watu Wanaosadikika Kuwa Ni Police, Na Yuko kituo Cha Polisi Geita.
NYUMBANI Kwake Kumejaa Polisi Njee na Ndani. Kosa la Yeye Kushikiliwa Halijulikani.
Zaidi soma:
Chato: Bendera za CHADEMA zashushwa na wanaodaiwa kuwa makada wa CCM. Mwanamama Husna Amri Said acharuka!
CHADEMA imekuwa ikimsumbua John Magufuli Jimbo la Chato Toka akiwa Mbunge