100bucks
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 685
- 752
Lipeni watu hela,acha povu mamaI am silly but you are insane my friend, mengi kukuoa sasa sahau
Lipeni watu hela,acha povu mamaI am silly but you are insane my friend, mengi kukuoa sasa sahau
Wew una akili sana, yaani umetoka nje ya box... Hapo kuna zaidi ya madai..Kama Mengi anadaiwa mishahara, Semvua na wahindi wametajwa wa nini humu?
Hapa kuna majungu tu hakuna zaidi. Kama ni mishahara hakuna asiyejuwa kudai kisheria.
Mkuu Sokoine, poleni sana!.
Mode naomba mlinde Sokoine, kitendo cha kutoa siri za kampuni humu, akijulikana atapoteza kazi.
Swali muhimu hao wafanyakazi wanazalisha na kutengeneza faida?
Maisha haya ukitegemea mshahara umekwisha.
Elewa kampuni iliyosajiliwa"The Guardian" na Mengi mbele ya sheria ni watu(person)wawili tofauti na kila mmoja ana fedha zake.undefinedhawa watu sio matajiri kama wanavyotangazwa,undefinedwanazungurusha mikopo tu
Naomba kujuwa dini ya huyu Semvuwa kwanza.Hapa Naona kuna majungu tu, anaetafutwa ni Semvua tu.
Semvua aliwaajiri nao wafanyakazi au Mengi?
Kama uongo anaufanya Mengi siyo Semvua.
Huo mti na hiyo mishahara ni zuga tu.
Kwa ufataani na majungu haya uliyoyaandika simshangai Mengi kuagiza wafanyakazi kutokana India.
Watanzania badala ya kufanya kazi mmekalia uongo, majungu, ufataani na uvivu tu.
Wahindi wamewashika pabaya mnaona mie na majungu.
Tuondolee huu upuuzi na waliokuunga mkono nawashangaa sana.
Wacha kazi badala ya kuendeleza fitna.
Star tv huu ni mwaka wa tatu.Miezi mitatu pasipo mshahara na bado hakuna kesi mahakamani inayohusu madai ya maslahi???
Mkuu Sokoine, poleni sana!.
Mode naomba mlinde Sokoine, kitendo cha kutoa siri za kampuni humu, akijulikana atapoteza kazi.
Hii taarifa kuwa Kampuni ya Mzee Mengi inadaiwa, ni sawa na Mzee Mengi mwenyewe kudaiwa. Taarifa ya Mzee Mengi, ambaye ndiye tajiri mkubwa Tanzania, kudaiwa na wafanyakazi wake, sio taarifa mzuri kabisa, hivyo mimi nakubaliana na mtoa mada kuwa Mzee Mengi mwenyewe hajui kuwa wafanyakazi wake wa the Guardian Ltd, hawajalipwa mishahara ya miezi mitatu, hivyo kwa taarifa hii sasa, habari ndio zitamfikia, atachota akiba yake na kulipa hiyo mshahara, kati ya kesho na Ijumaa watalipwa.
Poleni sana
P.
nilivyoona mimi ni kwamba hiyo kampuni ni ya mengi sasa kwanini asihusike na mshahara ila inabidi atuambie alikosa mameneja wazawa mpaka awachukue hao wahindi huo sio uzalendo kabisa ajitafakari watu wetu wanatesekaMengi anahusikaje na wafanyakazi wa Gurdian kukosa mishahara?
"Watu wetu" wanajitesa wenyewe, ni wezi, waongo, mafataani.nilivyoona mimi ni kwamba hiyo kampuni ni ya mengi sasa kwanini asihusike na mshahara ila inabidi atuambie alikosa mameneja wazawa mpaka awachukue hao wahindi huo sio uzalendo kabisa ajitafakari watu wetu wanateseka
WASIPOUZA UTALIPWAJE ? hiyo karatasi ya mkataba itakulipa ?Mkuu embu fikilia kidigo tu kwa elimu ya msingi Mimi Niko kwenye upande wa production sales na marketing zinanihusu vipi wakati mkataba unataka nilipwe siku nilizofanyia kazi