Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

Sioni jipya tofauti na post yangu. Umejiaminisha na picha iliyopigwa vertical upward to the object na umeshindwa kuamini yakwangu niliyoitoa BBC. Wewe ni jipu lililoiva.
Hiyo picha yako siyo. Unalazimisha nini sasa? Picha uliyoleta imepigwa Costa Rica. Acha kung'ang'ania uongo.
 
Soon Kenya wataanza kuutumia kutangaza utalii. Karibuni Kenya kuuona mti mrefu ukipanda mlima Kilimanjaro.
 
Wanasanyansi wa Tanzania hamna kitu kwanza hawajui English ya kuongea! na hawajawahi Gundua chochote kile. haswa hawa wa Awamu hii wanapewa vyeo alafu wanaboronga ''kweli kweli'' karibu wote hawajui hata nzi ana miguu mingapi! ukiachia Jongoo...
Mfano nani?
 
MK254
Mimi nitachojua ni kuwa miti mirefu iko Kongo. Kwa sababu ya hali yake ya hewa.

ambacho hujui ni kwamba kwenye shina la mlima kilimanjaro kuna msitu mnene na tabia nchi ya ikweta kama ilivyo katika misitu ya kongo, kafunue vitabu tafadhali.
 
hata kama hawajui basi wameshagundua kitu ila wa kwetu ni ile kitu inaitwa ya bure yayo kabisa
Hata babu wa Loliondo amewashinda..Wanakesha kwa waganga wa kiwnyeji na watangaza miujiza kupata majibu ya maisha na professionals zimeuzwa kwenye usanii wa kisiasa..
 
Wanasanyansi wa Tanzania hamna kitu kwanza hawajui English ya kuongea! na hawajawahi Gundua chochote kile. haswa hawa wa Awamu hii wanapewa vyeo alafu wanaboronga ''kweli kweli'' karibu wote hawajui hata nzi ana miguu mingapi! ukiachia Jongoo...
Umesoma mpaka darasa la ngapi
 
Back
Top Bottom