Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

Jameni vivutio mnavyo, lakini kujinadi hamnazo. Sasa mtalaumu wajanja wakiutangaza na kupiga hela.
==================================

_92783044_tress.jpg


Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

Wanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania.

Wanasayansi kutoka chuo cha Bayreuth nchini Ujerumani, wanasema wanaamini kuwa mti huo unaopatiknan karibu na mlima Kilimanjaro ndio mrefu zaidi barani.

Mmoja wa wanasayansi hao alisema kuwa aliona mtu huo miaka 20 iliyopita, lakini ni hadi hivi majuzi wakitumia vifaa maalum walifaulu kupima urefu wake.

Mti huo kutoka familia ya Entandrophragma excelsum una urefu wa mita 81.

Wanasayansi nchini Tanzania bado hawajatoa taarifa yoyote kuhusu ugunduzi huo.

Wanasayansi waliogundua mti huo sasa wanataka ujumuishwe kwenye kumbukumbu ya miti isiyo ya kawaida duniani.

Mti mrefu zaidi Afrika wagunduliwa Tanzania - BBC Swahili
Tunavyo vingi sana mkuu, vivutio maelfu kwa maelfu, hicho ni kimoja umekiona, hata nikikupeleka kijijini kwetu utaduwaa.
Relaax,
Our time is coming and we are almost there... Ngoja tumalizie JNIA terminal3, (to be the largest in east and central africa), na tufufue ATCL.
Halafu mtaelewa kwa nini no body can stop reggae.
 
Tunavyo vingi sana mkuu, vivutio maelfu kwa maelfu, hicho ni kimoja umekiona, hata nikikupeleka kijijini kwetu utaduwaa.
Relaax,
Our time is coming and we are almost there... Ngoja tumalizie JNIA terminal3, (to be the largest in east and central africa), na tufufue ATCL.
Halafu mtaelewa kwa nini no body can stop reggae.

Hizo nyimbo za ngoja ngoja mbona waliimba babu zenu, wakaimba baba zenu na nyie leo mnaimba, mtawapokeza watoto wenu waimbe. Tatizo kila kitu mnafanya lazima mfanye benchmarking na Kenya.

Sijui kama una taarifa SGR sasa itakua inatumia umeme, yaani usafiri wa mizigo maelfu ya tani na maelfu ya wasafiri wa kibiashara kutoka Mombasa hadi Chigali utakua ndani ya masaa.
 
Wanasanyansi wa Tanzania hamna kitu kwanza hawajui English ya kuongea! na hawajawahi Gundua chochote kile. haswa hawa wa Awamu hii wanapewa vyeo alafu wanaboronga ''kweli kweli'' karibu wote hawajui hata nzi ana miguu mingapi! ukiachia Jongoo...
Kwa hiyo English ndiyo sayansi.
So the science of the world is hiden in english!!!??
 
Hizo nyimbo za ngoja ngoja mbona waliimba babu zenu, wakaimba baba zenu na nyie leo mnaimba, mtawapokeza watoto wenu waimbe. Tatizo kila kitu mnafanya lazima mfanye benchmarking na Kenya.

Sijui kama una taarifa SGR sasa itakua inatumia umeme, yaani usafiri wa mizigo maelfu ya tani na maelfu ya wasafiri wa kibiashara kutoka Mombasa hadi Chigali utakua ndani ya masaa.
mkuu unatutia hasira ujue?
 
Kwani wana sayansi wa china,Korea, ujerumani,urusi wanajua kuongea kiingereza
Kwani wanasayansi wa china,urusi,korea na ujerumani wamesoma kwa kumia kiingereza hebu jaribu kuficha upumbavu wako muda mwingine
 
Wanasanyansi wa Tanzania hamna kitu kwanza hawajui English ya kuongea! na hawajawahi Gundua chochote kile. haswa hawa wa Awamu hii wanapewa vyeo alafu wanaboronga ''kweli kweli'' karibu wote hawajui hata nzi ana miguu mingapi! ukiachia Jongoo...

:D:D
 
Jameni vivutio mnavyo, lakini kujinadi hamnazo. Sasa mtalaumu wajanja wakiutangaza na kupiga hela.
==================================

_92783044_tress.jpg


Mti mrefu Afrika wagunduliwa katika mlima Kilimanjaro nchini Tanzania

Wanasayansi wanasema kuwa wamegundua kile wanaamini kuwa ni mti mrefu zaidi barani Afrika. Mti huo uko bonde moja lililo Kaskazini Mashariki mwa Tanzania.

Wanasayansi kutoka chuo cha Bayreuth nchini Ujerumani, wanasema wanaamini kuwa mti huo unaopatiknan karibu na mlima Kilimanjaro ndio mrefu zaidi barani.

Mmoja wa wanasayansi hao alisema kuwa aliona mtu huo miaka 20 iliyopita, lakini ni hadi hivi majuzi wakitumia vifaa maalum walifaulu kupima urefu wake.

Mti huo kutoka familia ya Entandrophragma excelsum una urefu wa mita 81.

Wanasayansi nchini Tanzania bado hawajatoa taarifa yoyote kuhusu ugunduzi huo.

Wanasayansi waliogundua mti huo sasa wanataka ujumuishwe kwenye kumbukumbu ya miti isiyo ya kawaida duniani.

Mti mrefu zaidi Afrika wagunduliwa Tanzania - BBC Swahili
Wanasayansi gani wa Tanzania??? labda wa kukata mauno kitandani na wanawake( sayansi si mchezo)
 
Kwani wanasayansi wa china,urusi,korea na ujerumani wamesoma kwa kumia kiingereza hebu jaribu kuficha upumbavu wako muda mwingine
Kiingereza kimewafanya watu wahisi bila kiingereza basi no innovesion.... Nenda ujerumani uone jinsi wanasayansi walivyoandika papers za Quantum Physics kwa Kijerumani....
 
we unaonaje? without English Sayansi ingefika hap ilipo?
Ni wewe pekeyako mtu wa Anglophone ndo unahisi usingeelewa, lakini wenzako wa Franchophone, Luthophone, Spanscaphone, wachina, wakorea, warusi wanaipata sayansi kwa lugha zao kwa uzuri kabisa.......
 
Wanasayansi wa Ujerumani wamegundua Mti wenye umri wa Miaka zaidi ya 600 uliopo katika safu za mlima Kilimanjaro-Tanzania.Hakuna mti wenye umri kama huu duniani kwa sasa.Mti huu vilevile ni mrefu kuliko yote Afrika ukiwa na Mita 81.2.
My Note;
Tukitumia vizuri maliasili zetu na vivutio vya utalii tunaweza kujiingizia Pesa nyingi sana za kigeni kwa maendeleo yetu.

Source.Gazeti la Nipashe na Radio Wapo.
 
Cha ajabu nisicho kielewa, tunao watafiti /wasomi na vyuohusika pia kama sokoine INAKUWAJE wagunduzi hao watoke huko mbaali kabisa kuja kwetu hapa KUGUNDUA vitu kila siku na sisi tupo hapa ? ? ni kama mtu wala sio jirani yako anakuja moja kwa moja uvunguni mwa kitanda chako wewe na mke wako ANAOKOTA tsh milioni moja na kuitangaza na kuichukua na wewe na familia yako kila siku mnashinda njaa kwa kukosa PESA, ? ?

Juzi tu gas ya helium wagunduzi toka OXFORD tena madini mapya kabisa toka Michigan cha Marekani
 
Cha ajabu nisicho kielewa, tunao watafiti /wasomi na vyuohusika pia kama sokoine INAKUWAJE wagunduzi hao watoke huko mbaali kabisa kuja kwetu hapa KUGUNDUA vitu kila siku na sisi tupo hapa ? ? ni kama mtu wala sio jirani yako anakuja moja kwa moja uvunguni mwa kitanda chako wewe na mke wako ANAOKOTA tsh milioni moja na kuitangaza na kuichukua na wewe na familia yako kila siku mnashinda njaa kwa kukosa PESA, ? ?

Juzi tu gas ya helium wagunduzi toka OXFORD tena madini mapya kabisa toka Michigan cha Marekani
umewahi kumuuliza waziri mwenye dhamana akishirikiana na wabunge wamewahi kupitisha bajeti ya trilioni ngapi kwa ajili ya tafiti?

ila subiri kwenye kusaini mikataba na sheria kandamizi wanavyo pitisha na kusaini haraka haraka sasa.

wenzetu ukisikia bajeti kubwa imeenda jeshini pamoja na maslahi ya wanajashi kuwa mazuri ila asilimia kubwa ya bajeti inajikita kwenye tafiti
huku ni full posho nights overtime kununua zana n.k
 
Wameshaupa jina lao? Huku hatuna wataalam wa nyanja yeyote zaidi ya kupiga siasa hivyo wapewe tu heshima ya ugunduzi na kuuita majina watakayo kama ilivyo kwa ziwa Victoria na mlima Kilimanjaro.
 
Tatizo La Tanzania Tafiti zao Sijui Wanafanyaje Huku Kwetu Kuna Miti Mirefu Kama Minara ya Simu Mbona Hamjaitaja?
 
Back
Top Bottom