ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,062
- 6,197
Kwa Katiba ya nchi iliyopo, CCM haihitaji wapiga kura ili kupata kura. Huikuhitaji wewe wala mmachinga.Hao machinga wasubirie kipindi cha uchaguzi tu ndo thamani yao itapanda
Hata wasipoenda kupiga kupiga kura, wao watapata idadi % wanayohitaji.
Tume ya uchaguzi wanateua wao, ma DED wao, Polisi, TISS