jana nilikutana na watu wakijadili watarajiwa wa kuongoza TSN. waliotajwa ni
Muhingo Rweyemamu ambaye alihusishwa na kusafisha ufisadi na kuwa ataigeuza dailynews chombo cha kusafishia mafisadi.
Innocent Mungy ambaye alidaiwa kuwa ni mzungumzaji mzuri ila si mtendaji kabisa dailynews itakufa
Mtendaji mkuu wa dailynews ni nani?
Muhingo Rweyemamu ambaye alihusishwa na kusafisha ufisadi na kuwa ataigeuza dailynews chombo cha kusafishia mafisadi.
Innocent Mungy ambaye alidaiwa kuwa ni mzungumzaji mzuri ila si mtendaji kabisa dailynews itakufa
Mtendaji mkuu wa dailynews ni nani?