Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 29,350
- 25,451
Hapa ufipa sisi makamanda tunaunga mkono.Huku CCM tuna upungufu wa viongozi wachapakazi na waadilifu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa ufipa sisi makamanda tunaunga mkono.Huku CCM tuna upungufu wa viongozi wachapakazi na waadilifu.
Hahaaaa swali zuri sana mkuu.Hiyo fomu atapewa na Nani?
Topic ni Mtemvu mjombaHapa ufipa sisi makamanda tunaunga mkono.
Aisee vipi mambo?Topic ni Mtemvu mjomba
Wasaliti wanapewa nafasi , wafia chama mnatupwa !Aisee vipi mambo?
Kwa nini unajidanganya?Wasaliti wanapewa nafasi , wafia chama mnatupwa !
Mtemvu usikubali katiba yenu kukanyagwa,nina vijana wa KUSHATO jimbo la temeke,nimeongea nao wote wanasema wamechoshwa na mtolea wanataka kukurudisha wewe maana wameona mtolea kawaangusha kwa upuuzi wake,wanasema wapo nyuma yako wanakupa support,wanasema chukua form watakuunga mkono hata kama kina polepole wasipokupitisha,wanasema ukikatwa nenda hata chama kingine watakupigia kura tu.Habari ndio hiyo wakuu , inasemekana Salim Chicago amekubaliana na mpango wa Polepole ambao kimsingi umo kwenye mkataba wa manunuzi ya wabunge wa upinzani ( tunakununua na tunakurudisha tena ) , Lakini Abass Mtemvu na wapambe wake wakiwemo viongozi wa ccm wa wilaya wamejiapiza kwamba Patachimbika !
nimekuletea hii ili uwe wa kwanza kufahamu .
HahahahaHata sisi makamanda wa ufipa tunamuunga mkono.
UWONGO WA HALI YA JUU WALAHI
Acha kumdanganya mtemvu! Nakushauri Alhaji mtemvu kama utabahatika ukiona comments yangu! Fuata miongozo ya viongozi wakuu ktk chama kwa kadri watakavyopendekeza na sio vinginevyo! Kama Mtolea atapitishwa ni vyema ukamuunga mkono!Mtemvu usikubali katiba yenu kukanyagwa,nina vijana wa KUSHATO jimbo la temeke,nimeongea nao wote wanasema wamechoshwa na mtulia wanataka kukurudisha wewe maana wameona mtulia kawaangusha kwa upuuzi wake,wanasema wapo nyuma yako wanakupa support,wanasema chukua form watakuunga mkono hata kama kina polepole wasipokupitisha,wanasema ukikatwa nenda hata chama kingine watakupigia kura tu.